Google Diggers
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 944
- 1,138
Dereva mmoja Leo saa nne usiku alinitoa mitaa ya marambamawili kwenda tabata.
Tukiwa safarini demu akaanza kushuka baada ya kufika kwao..nikaendelea safari. Tukiwa safarini tukapishana maneno na dereva m. Oooh Malaya na maneno kibao. Nikakaribia nyumbn Kwangu kabla ya kunishusha tukabishana maneno Tena nikamlamba ngumi ya meno..
Akadai ataaniitia mwizi nikamkumbusha unajua Upo kwangu? Akaacha Kupiga filimbi. Akakauka. Lkn akaning'ata imeniuma Sana Hadi sasa ninakidonda nimekisafisha na usol japo maumivu yapo.
Jamani nimewaza sana Hadi sabb yankuniuma umma.
Tukiwa safarini demu akaanza kushuka baada ya kufika kwao..nikaendelea safari. Tukiwa safarini tukapishana maneno na dereva m. Oooh Malaya na maneno kibao. Nikakaribia nyumbn Kwangu kabla ya kunishusha tukabishana maneno Tena nikamlamba ngumi ya meno..
Akadai ataaniitia mwizi nikamkumbusha unajua Upo kwangu? Akaacha Kupiga filimbi. Akakauka. Lkn akaning'ata imeniuma Sana Hadi sasa ninakidonda nimekisafisha na usol japo maumivu yapo.
Jamani nimewaza sana Hadi sabb yankuniuma umma.