political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
Alikinbia...ndio ujue kauli ya usimuamini MTU. Baada ya msikemshike, Dem kakausha, simu hapokei, sms hajibuUmemwambia dem wako
Alikimbilia bajaji akakimbia[emoji16][emoji16][emoji16] kwaiyo alivyokung'ata alikimbia au alibaki pale pale
Ngoja nimpigieAlikinbia...ndio ujue kauli ya usimuamini MTU. Baada ya msikemshike, Dem kakausha, simu hapokei, sms hajibu
Mkumbushe kilichompata Thomas Mashali,Bonyokwa.Ulichokificha kwenye maelezo yako ni uhusika wako kwenye huko kupishana.
Ujinga wako utakuzawadia kaburi siku moja
Ww umempiga ngumi unaona poa yeye kukung'ata umeleta uzi kabisaa jiangalieDereva mmoja Leo saa nne usiku alinitoa mitaa ya marambamawili kwenda tabata.
Tukiwa safarini demu akaanza kushuka baada ya kufika kwao..nikaendelea safari. Tukiwa safarini tukapishana maneno na dereva m. Oooh Malaya na maneno kibao. Nikakaribia nyumbn Kwangu kabla ya kunishusha tukabishana maneno Tena nikamlamba ngumi ya meno..
Akadai ataaniitia mwizi nikamkumbusha unajua Upo kwangu? Akaacha Kupiga filimbi. Akakauka. Lkn akaning'ata imeniuma Sana Hadi sasa ninakidonda nimekisafisha na usol japo maumivu yapo.
Jamani nimewaza sana Hadi sabb yankuniuma umma.
Kwa tathimini ndg tu ulikua umeshaweka vyombo kichwani, haiingii akilini uko mzima mfikie kupishana kauli mpaka kwenye vibao tena? Pombe mbaya!!Dereva mmoja Leo saa nne usiku alinitoa mitaa ya marambamawili kwenda tabata.
Tukiwa safarini demu akaanza kushuka baada ya kufika kwao..nikaendelea safari. Tukiwa safarini tukapishana maneno na dereva m. Oooh Malaya na maneno kibao. Nikakaribia nyumbn Kwangu kabla ya kunishusha tukabishana maneno Tena nikamlamba ngumi ya meno..
Akadai ataaniitia mwizi nikamkumbusha unajua Upo kwangu? Akaacha Kupiga filimbi. Akakauka. Lkn akaning'ata imeniuma Sana Hadi sasa ninakidonda nimekisafisha na usol japo maumivu yapo.
Jamani nimewaza sana Hadi sabb yankuniuma umma.
hahahaaaaHukupigwa miti kweli wewe?