Kuna maji kupwa na kuna maji kujaa

Kuna maji kupwa na kuna maji kujaa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Matendo haya hayaendi pamoja hata siku moja.. Upande mmoja maji yakipwa basi upande mwingine maji hujafa
Maji yakipwa yana faida na hasara zake! Vilevile maji yakijaa yana faida na hasara zake
Tunachoangalia hapa ni matendo yote mawili kuyaweka kwenye mizania. Ni lipi lina hasara zaidi na lipi lina faida zaidi
Maji kupwa hutotea baada ya maji kujaa yaani maji yanayokuja ufukweni yakitokea baharini. Nadhania dhanifu zinasema haya huja kubeba vilivyoko ufukweni vibaya na vizuri . lakini pia huja kurudisha/kutapika vibaya! Bahari haikai na uchafu lazima itautapika tuu..
Maji kujaa ndio yenye matendo hatari zaidi na kuna Wakati yanapokuja kupatika uchafu huwa na hasira sana na kusababisha madhara mengi ukiwepo vifo na unaribifu wa vitu.!
Okay hutuachia uchafu wetu lakini na vingine vizuri kama chumvi makombe na mazao bahari mengineyo.
Matendo haya baharini hutokea kila siku kwenye masaa 24
CHADEMA kwasasa ni maji kujaa.. Bahari hughadhibika kipindi hiki.. Waswahel husema bahari imechafukwa! Machafuko baharini si kila wakati huwa na madhara makubwa.. La hasha..!!!
CCM kwasasa ni maji kupwa.. Kumetulia tuli... Lakini hiki si kitendo cha muda wote... Maji kujaa yanakuja! Kwa style gani? Tuvute subra.. Ila kwa yale machafu ya uchaguzi.. You can guess!
CHADEMA inafunga mwaka kwa vuguvugu la kutoelewana kwenye uchaguzi wa mwenyekiti.. CCM itatufungulia mwaka kwa mipasuko ya uchaguzi uliopita wa serikali za mitaa na maandalizi ya watia nia nafasi za ubunge na urais.

Kwenye mizania ya kutoelewana hali unatarajiwa kuwa mbaya sana kwa CCM kuliko ilivyo sasa kwa CHADEMA.
 
Kwenye mizania ya kutoelewana hali unatarajiwa kuwa mbaya sana kwa CCM kuliko ilivyo sasa kwa CHADEMA.
sidhani kama ccm kutavurugika kwa vile huko kuna ulaji/teuzi/kupata upendeleo kwenye dealings zao as long as unasimamisha bendera ya CCM (utafanya biashara bila kubugudhiwa etc etc). Huko kutatulia maana kila mmoja huko kuna fursa.

Chadema hakuna fursa...wako kwa vile wanapenda chama....mkikosana mnachangukana kila mmoja lwake
 
sidhani kama ccm kutavurugika kwa vile huko kuna ulaji/teuzi/kupata upendeleo kwenye dealings zao as long as unasimamisha bendera ya CCM (utafanya biashara bila kubugudhiwa etc etc). Huko kutatulia maana kila mmoja huko kuna fursa.

Chadema hakuna fursa...wako kwa vile wanapenda chama....mkikosana mnachangukana kila mmoja lwake
Mvurugano na mpasuko wa CCM utakuwa mbaya na mkubwa sana.. Imagine kwenye uchfauzi wa serikali za mitaa walifanyiana vike vipi kwenye ubunge!?
Ishu ya form moja ya urais pia itawaletea shida sana
Sasa hivi kumepoa kwakuwa CHADEMA ni kwa moto na wanafanya kila mbinu moto uzidi kukolea.. Subiri CHADEMA kupoe uone watakavyo anza kupopoana
 
Matendo haya hayaendi pamoja hata siku moja.. Upande mmoja maji yakipwa basi upande mwingine maji hujafa
Maji yakipwa yana faida na hasara zake! Vilevile maji yakijaa yana faida na hasara zake
Tunachoangalia hapa ni matendo yote mawili kuyaweka kwenye mizania. Ni lipi lina hasara zaidi na lipi lina faida zaidi
Maji kupwa hutotea baada ya maji kujaa yaani maji yanayokuja ufukweni yakitokea baharini. Nadhania dhanifu zinasema haya huja kubeba vilivyoko ufukweni vibaya na vizuri . lakini pia huja kurudisha/kutapika vibaya! Bahari haikai na uchafu lazima itautapika tuu..
Maji kujaa ndio yenye matendo hatari zaidi na kuna Wakati yanapokuja kupatika uchafu huwa na hasira sana na kusababisha madhara mengi ukiwepo vifo na unaribifu wa vitu.!
Okay hutuachia uchafu wetu lakini na vingine vizuri kama chumvi makombe na mazao bahari mengineyo.
Matendo haya baharini hutokea kila siku kwenye masaa 24
CHADEMA kwasasa ni maji kujaa.. Bahari hughadhibika kipindi hiki.. Waswahel husema bahari imechafukwa! Machafuko baharini si kila wakati huwa na madhara makubwa.. La hasha..!!!
CCM kwasasa ni maji kupwa.. Kumetulia tuli... Lakini hiki si kitendo cha muda wote... Maji kujaa yanakuja! Kwa style gani? Tuvute subra.. Ila kwa yale machafu ya uchaguzi.. You can guess!
CHADEMA inafunga mwaka kwa vuguvugu la kutoelewana kwenye uchaguzi wa mwenyekiti.. CCM itatufungulia mwaka kwa mipasuko ya uchaguzi uliopita wa serikali za mitaa na maandalizi ya watia nia nafasi za ubunge na urais.

Kwenye mizania ya kutoelewana hali unatarajiwa kuwa mbaya sana kwa CCM kuliko ilivyo sasa kwa CHADEMA.

Kama fukuto chadema ni mwamba kutaka 5 mingine, ipendekezwe urudishwe tu usultani hadi kwenye urais huko.

Tuachane na usanii wa chaguzi kwani kumbe madarakani kutamu ndiyo maana CCM wanakomaa.

Kwamba akiwahi mtu, iwe hadi kifo au kufurushwa!
 
Naskia mboye aliwahi kusema Samia must go naona ni kama upepo unamgeuka Tena na kuwa mboye must go
 
Kama fukuto chadema ni mwamba kutaka 5 mingine, ipendekezwe urudishwe tu usultani hadi kwenye urais huko.

Tuachane na usanii wa chaguzi kwani kumbe madarakani kutamu ndiyo maana CCM wanakomaa.

Kwamba akiwahi mtu, iwe hadi kifo au kufurushwa!
Lakini hajaweka wazi wala rasmi nia yake hiyo
 
Lakini hajaweka wazi wala rasmi nia yake hiyo

Let's be honest:

"Hivi kulikuwa hata hitaji la muda kuweka hilo wazi?"

Kwamba kama wale wa mfalme Suleiman, yuko kwenye kuchua misuli kuvutana kikuku kuthibitisha mtoto ni wake?
 
Let's be honest:

"Hivi kulikuwa hata hitaji la muda kuweka hilo wazi?"

Kwamba kama wale wa mfalme Suleiman, yuko kwenye kuchua misuli kuvutana kikuku kuthibitisha mtoto ni wake?
Hajasema popote kwamba atagombea ila aliwahi kusema atapumzika kipindi chake kikiisha
 
Hajasema popote kwamba atagombea ila aliwahi kusema atapumzika kipindi chake kikiisha

Kama hayo ndiyo msimamo wake,

"CHADEMA kwasasa ni maji kujaa.. Bahari hughadhibika kipindi hiki.. Waswahel husema bahari imechafukwa! Machafuko baharini si kila wakati huwa na madhara makubwa.. La hasha..!!!"

Kumbe kulikoni mfano huu?
 
Matendo haya hayaendi pamoja hata siku moja.. Upande mmoja maji yakipwa basi upande mwingine maji hujafa
Maji yakipwa yana faida na hasara zake! Vilevile maji yakijaa yana faida na hasara zake
Tunachoangalia hapa ni matendo yote mawili kuyaweka kwenye mizania. Ni lipi lina hasara zaidi na lipi lina faida zaidi
Maji kupwa hutotea baada ya maji kujaa yaani maji yanayokuja ufukweni yakitokea baharini. Nadhania dhanifu zinasema haya huja kubeba vilivyoko ufukweni vibaya na vizuri . lakini pia huja kurudisha/kutapika vibaya! Bahari haikai na uchafu lazima itautapika tuu..
Maji kujaa ndio yenye matendo hatari zaidi na kuna Wakati yanapokuja kupatika uchafu huwa na hasira sana na kusababisha madhara mengi ukiwepo vifo na unaribifu wa vitu.!
Okay hutuachia uchafu wetu lakini na vingine vizuri kama chumvi makombe na mazao bahari mengineyo.
Matendo haya baharini hutokea kila siku kwenye masaa 24
CHADEMA kwasasa ni maji kujaa.. Bahari hughadhibika kipindi hiki.. Waswahel husema bahari imechafukwa! Machafuko baharini si kila wakati huwa na madhara makubwa.. La hasha..!!!
CCM kwasasa ni maji kupwa.. Kumetulia tuli... Lakini hiki si kitendo cha muda wote... Maji kujaa yanakuja! Kwa style gani? Tuvute subra.. Ila kwa yale machafu ya uchaguzi.. You can guess!
CHADEMA inafunga mwaka kwa vuguvugu la kutoelewana kwenye uchaguzi wa mwenyekiti.. CCM itatufungulia mwaka kwa mipasuko ya uchaguzi uliopita wa serikali za mitaa na maandalizi ya watia nia nafasi za ubunge na urais.

Kwenye mizania ya kutoelewana hali unatarajiwa kuwa mbaya sana kwa CCM kuliko ilivyo sasa kwa CHADEMA.
Tarehe 15 maji kupwa na tarehe 30 maji kujaa, ila kwa tusiokuwa na kazi mwezi mzima ni maji kupwa.
 
Wenye mawazo kama haya hawana tofauti na mashabiki wa Simba na Yanga au wazee wa kubet Wote wa hovyo hovyo.
 
Kama hayo ndiyo msimamo wake,

"CHADEMA kwasasa ni maji kujaa.. Bahari hughadhibika kipindi hiki.. Waswahel husema bahari imechafukwa! Machafuko baharini si kila wakati huwa na madhara makubwa.. La hasha..!!!"

Kumbe kulikoni mfano huu?
Kuna maji kujaa yameondoka na maisha ya watu na mengine kuleta madhara makubwa nchi kavu.. Mwaka 1984 mjini Tanga yaliondoka na ndugu yangu.. Alipatikana saa 24 baadae akiwa kanasa mchangani😭
 
Hatutasafirisha jamani....
IMG-20241219-WA0021.jpg
 
Back
Top Bottom