Kuna makabila yana mila na desturi ngumu sana

Kuna makabila yana mila na desturi ngumu sana

mchawi wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2018
Posts
830
Reaction score
898
Kabila la Hamer na desturi ngumu

Kabila la hamer linalopatikana kusini mwa nchi ya Ethiopia ndilo kabila linalosifika kudumisha mila na desturi ya kuthibitisha uwezo wa mwanamke kuvumilia magumu kwenye ndoa!

Inasemekana mwanaume kabla hajatoa mahari inabidi ampime mwanamke anayetaka kumuoa kama atakuwa na uvumilivu wa shida na raha katika ndoa! Kipimo hicho ni kwamba mwanamke anatakiwa mwenyewe atafute fimbo nzuri na kumkabidhi mwanaume, na hapo mwanaume anatakiwa amcharaze fimbo za kutosha mwanamke huyo na hatotakiwa kuonyesha ishara yeyote ya maumivu wala kulia na akifanikiwa kwa hilo basi mwanamke huyo atakuwa na sifa ya uvumilivu na mahari kubwa itatolewa kwake!

Ninachoshindwa kuelewa ni namna ambavyo wasichana hao wanaweza kuvumilia hali hio ngumu,fimbo ya kupasua kabisa na kuharibu ngozi,kisa ndoa!Ndiyo ni mila,lakini huu kwangu mimi naona ni ukatili mkubwa kwa wanawake hawa!Hata ingawa inasemekana hawa ndoa zao hazivunjikagi,wanaishi sana kwenye ndoa....ila....mmh!

Nini maoni yako!
 
Kabila la Hamer na desturi ngumu

Kabila la hamer linalopatikana kusini mwa nchi ya Ethiopia ndilo kabila linalosifika kudumisha mila na desturi ya kuthibitisha uwezo wa mwanamke kuvumilia magumu kwenye ndoa!

Inasemekana mwanaume kabla hajatoa mahari inabidi ampime mwanamke anayetaka kumuoa kama atakuwa na uvumilivu wa shida na raha katika ndoa! Kipimo hicho ni kwamba mwanamke anatakiwa mwenyewe atafute fimbo nzuri na kumkabidhi mwanaume, na hapo mwanaume anatakiwa amcharaze fimbo za kutosha mwanamke huyo na hatotakiwa kuonyesha ishara yeyote ya maumivu wala kulia na akifanikiwa kwa hilo basi mwanamke huyo atakuwa na sifa ya uvumilivu na mahari kubwa itatolewa kwake!

Ninachoshindwa kuelewa ni namna ambavyo wasichana hao wanaweza kuvumilia hali hio ngumu,fimbo ya kupasua kabisa na kuharibu ngozi,kisa ndoa!Ndiyo ni mila,lakini huu kwangu mimi naona ni ukatili mkubwa kwa wanawake hawa!Hata ingawa inasemekana hawa ndoa zao hazivunjikagi,wanaishi sana kwenye ndoa....ila....mmh!

Nini maoni yako!
Lipo kabila moja ambalo mgeni yeyote unapowatembelea wanakupatia mwanamke wa kulala naye usiku, sijui linaitwaje na lipo wapi hili. Inawezekana lipo hukohuko Ethiopia
 
Kabila la Hamer na desturi ngumu

Kabila la hamer linalopatikana kusini mwa nchi ya Ethiopia ndilo kabila linalosifika kudumisha mila na desturi ya kuthibitisha uwezo wa mwanamke kuvumilia magumu kwenye ndoa!

Inasemekana mwanaume kabla hajatoa mahari inabidi ampime mwanamke anayetaka kumuoa kama atakuwa na uvumilivu wa shida na raha katika ndoa! Kipimo hicho ni kwamba mwanamke anatakiwa mwenyewe atafute fimbo nzuri na kumkabidhi mwanaume, na hapo mwanaume anatakiwa amcharaze fimbo za kutosha mwanamke huyo na hatotakiwa kuonyesha ishara yeyote ya maumivu wala kulia na akifanikiwa kwa hilo basi mwanamke huyo atakuwa na sifa ya uvumilivu na mahari kubwa itatolewa kwake!

Ninachoshindwa kuelewa ni namna ambavyo wasichana hao wanaweza kuvumilia hali hio ngumu,fimbo ya kupasua kabisa na kuharibu ngozi,kisa ndoa!Ndiyo ni mila,lakini huu kwangu mimi naona ni ukatili mkubwa kwa wanawake hawa!Hata ingawa inasemekana hawa ndoa zao hazivunjikagi,wanaishi sana kwenye ndoa....ila....mmh!

Nini maoni yako!
Ethiopia ni nchi iliyojitambua mapema sana Africa na kuwa na Jeshi zuri, na ndiyo sababu iliyofanya nchi hii isitawaliwe na wakoloni... Nashangaa imekuaje bado ina utamaduni wa kipumbavu namna hii?? Waafrica kazi ipo.

Ukija ukicheki Haiti ni nchi nayo ya kiafrica tena imejaa watu wa ngozi nyeusi tupu, wamepata bahati wapo kabisa kule bara la North America kabisa lakini bado wako very local and poor, kushinda hata mitaa mingi hapa Tz. Waafrica tuna kazi sana.
 
Lipo kabila moja ambalo mgeni yeyote unapowatembelea wanakupatia mwanamke wa kulala naye usiku, sijui linaitwaje na lipo wapi hili. Inawezekana lipo hukohuko Ethiopia
Mkuu ukipata jina la hili kabila na wapi linapatina naomba unijuze.
 
Mkuu ukipata jina la hili kabila na wapi linapatina naomba unijuze.
Kabila hilo linaitwa "Trobriand" na liko nchini Papua New Guinea. Katika tamaduni yao, kuna desturi ya kumpa mgeni mwanamke wa kulala naye kama ishara ya ukarimu.
 
Nasikia Rwanda ukienda kuoa unapewa shangazi wa binti upige mambo ili shangazi ajilidhishe kuwa unaweza kumfikisha binti yao kileleni
Je Shangazi akielewa show itakuwaje?! Ndo hauna ndoa au unakuwa umeoa wanawake wawili wa familia moja!? 😀
 
Ethiopia ni nchi iliyojitambua mapema sana Africa na kuwa na Jeshi zuri, na ndiyo sababu iliyofanya nchi hii isitawaliwe na wakoloni... Nashangaa imekuaje bado ina utamaduni wa kipumbavu namna hii?? Waafrica kazi ipo.

Ukija ukicheki Haiti ni nchi nayo ya kiafrica tena imejaa watu wa ngozi nyeusi tupu, wamepata bahati wapo kabisa kule bara la North America kabisa lakini bado wako very local and poor, kushinda hata mitaa mingi hapa Tz. Waafrica tuna kazi sana.
Point of correction, haiti siyo africa, na wahaiti siyo waafrika.
 
Point of correction, haiti siyo africa, na wahaiti siyo waafrika.
Ni kweli mkuu! Kwa kiasi kikubwa wananchi wa Haiti wana asili ya Afrika, ingawa kuna kiasi kidogo cha raia wana asili ya Ulaya na mataifa mengine.
 
Back
Top Bottom