KUNA MAMBO AMBAYO UKIONA MWANAUME ANAYAFANYA UJUE HUYO KUOA NI MAJALIWA YAKE MUNGU

KUNA MAMBO AMBAYO UKIONA MWANAUME ANAYAFANYA UJUE HUYO KUOA NI MAJALIWA YAKE MUNGU

KUNA MAMBO AMBAYO UKIONA MWANAUME ANAYAFANYA UJUE HUYO KUOA NI MAJALIWA YAKE MUNGU

1. Anakuna Nazi Ghetto
2.Anapika Chapati Za Kusukuma
3. Anapika Makande
4. Ameweka Midoli Na Kadi Kitandani
5. Ananunua Mkaa Gunia
6.kupika kwa kutumia mkaa
7. Kuchemsha maji ya kunywa[emoji23]
8. Kufua mashuka kila wiki
9. Kupika maharage
10.kudeki kwa kutumia dekio la tambara
11. Anafagio la chelewa

Ongeza mengine
kwaiyo tusipike wala tusifanye usafi kwakuwa tunataka kuoa nonsense
 
Iko wazi kama anayaweza yote hayo hana haja ya kuowa..na kama alishapata mtoto ndio imetoka hiyo
Unadhani wanaume tumeoa sababu ya hayo majukumu uliyoyataja?tunaoa ili kipiga mti
 
Washing machine ni laki 4 tu, why mtu asifue daily/weekly hayo mashuka.
Specifically akimaliza gem
 
KUNA MAMBO AMBAYO UKIONA MWANAUME ANAYAFANYA UJUE HUYO KUOA NI MAJALIWA YAKE MUNGU

1. Anakuna Nazi Ghetto
2.Anapika Chapati Za Kusukuma
3. Anapika Makande
4. Ameweka Midoli Na Kadi Kitandani
5. Ananunua Mkaa Gunia
6.kupika kwa kutumia mkaa
7. Kuchemsha maji ya kunywa[emoji23]
8. Kufua mashuka kila wiki
9. Kupika maharage
10.kudeki kwa kutumia dekio la tambara
11. Anafagio la chelewa

Ongeza mengine
[emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenikumbusha kuna kipindi nilikua nachemsha mchele bila kuosha aisee tumetoka mbali sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
KUNA MAMBO AMBAYO UKIONA MWANAUME ANAYAFANYA UJUE HUYO KUOA NI MAJALIWA YAKE MUNGU

1. Anakuna Nazi Ghetto
2.Anapika Chapati Za Kusukuma
3. Anapika Makande
4. Ameweka Midoli Na Kadi Kitandani
5. Ananunua Mkaa Gunia
6.kupika kwa kutumia mkaa
7. Kuchemsha maji ya kunywa[emoji23]
8. Kufua mashuka kila wiki
9. Kupika maharage
10.kudeki kwa kutumia dekio la tambara
11. Anafagio la chelewa

Ongeza mengine
Kiukweli nikiweza kufanya haya mwenyewe nioe kwann sasa
 
Back
Top Bottom