kuna mambo mawili hapa......

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
kuna mambo mawili hapa aidha aliishakula vya kwake vyote na hana alichobakiza au ametafuta saana na akakosa mwisho wa siku kakata tamaa, tujitahidi sana kuwakwepa hawa watu hasa sisi vijana wenye muelekeo wa kujipata.
 
42 years huna historia? ukifa wana sema marehemu alizaliwa,akakuwa na akafa..
 
Ndo mmeamua kuja kuwasema masingle mother kwa njia hii
soma vizuri mkuu na tenga muda wa kufikilia, hivi kweli unaweza kusimama mbele za watu na kujipiga kifuani huku umisema" mimi sina cha kupoteza hata nikifungwa au mimi sina cha kupoteza hata nikifa.......huoni kama kuna tatizo hapo
 
soma vizuri mkuu na tenga muda wa kufikilia, hivi kweli unaweza kusimama mbele za watu na kujipiga kifuani huku umisema" mimi sina cha kupoteza hata nikifungwa au mimi sina cha kupoteza hata nikifa.......huoni kama kuna tatizo hapo
Mkuu shukuru Mungu unavyo vya kupoteza kwasababu hivyo ndio vinakufanya uendelee na haya maisha na vinaleta maana ya maisha yako.

nakazia, USIOMBE UKUTANE NA MTU AMBAYE HANA CHA KUPOTEZA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…