Kuna mambo ya ajabu sana CHADEMA

Sasa kama kuandika kwenyewe hujui tutakuelewaje ? Majungu yanapaswa kuandikwa vizuri ili tusome tuelewe labda twaweza kuingia mkenge
Hakuna jungu hapo mlipokuwa mnapata mabilioni Ata ujenzi wa makao makuu ulimishinda hivi ni kwanini?
 
Mada maelezo mengi lakini yalitakiwa yaandikwe kwa sentence moja tu,kabla hujanyoosha kidole kwa upande wa pili jiulize chama dola kimeifanyia nini nchi baada ya kuwa madarakani kwa zaidi ya 50yrs?hadi leo all social services zina matatizo makubwa
 
Hamna mambo ya kufanya huko ccm mpaka uje kuuliza mambo ya chama kingine?

Au unawashwawashwa!
Leo ndio unajua hilo, mbona ya ccm kutwa mnayasema, Acha kukimbia hapa kwanini mmeshindwa kujenga Ata makao makuu wakati mlikuwa mnapata mabilioni?
 
Mada maelezo mengi lakini yalitakiwa yaandikwe kwa sentence moja tu,kabla hujanyoosha kidole kwa upande wa pili jiulize chama dola kimeifanyia nini nchi baada ya kuwa madarakani kwa zaidi ya 50yrs?hadi leo all social services zina matatizo makubwa
Bado hii sio sababu ya chadema kutowajibika, ebu tuambie kwanini mmeshindwa kujenga Ata makao makuu wakati pesa mlikuwa mnapata
 
Nafkiri uchaguzi wa 2025 chadema watampoteza hata huyo mbunge mmoja waliempata
 
Ukweli mchungu. Chadema ni chama cha wapigaji tu kama ilivyo CCM
 
Ukiwa na akili ndogo au uwendawazimu, hata mtu akapita amevaa vizuri unaweza kuona ni jambo la ajabu.

Kutenganisha jambo la kawaida na la ajabu, inahitajika akili angalao ya kiwango cha kawaida. Usipokuwa nayo, unaweza kuona kila kitu ni cha ajabu.
 
Maneno yote hayo ya Nini mkuu, kumbuka mda wa kujipendekeza umeisha now tupo awamu sita mkuu pole, na za ukuu wa wilaya napo nasikia haupo mkuu
Tatizo ujinga hauishi kwa kubadilika kwa awamu. Wajinga, wanafiki, wapiga majungu wa awamu ya 5, ambayo kimsingi, ilikuwa awamu ya kuwahadaa wenye ubongo mdogo, hata baada ya kuingia awamu nyingine, watabakia kama walivyokuwa, ndiyo maana watu wa aina ya huyu mleta mada bado wapo na ujinga na unafiki ule ule.
 
CCM haijawahi kujenga otisi hata moja. Majengo yote unayoyaina, yanayoitwa majengo ya chama, yalijengwa kwa michango ya wananchi wote, na wakati mwingine michango hiyo ilibandikizwa kwenye bei ya soda. Waliokuwepo wakati wa Mwalimu wanajua.
 
Nani atakulipa buku saba?
Maana sii polepole, Bashiru wala mwendazake aliyepo katika ofisi za chama.
Au bandiko uliliandalia zamani za hao watu ila sasa umeamua kuli editi baada ya kukosa kazi ya kufanya.
 
Wewe na genge lenu la Lumumba si mlisema CDM ishajifika, sasa unahangaika nini hapa ?
 
Mkuu kweli hapa umeongea ukweli mchungu,nakumbuka tulipoenda ku jinadi kwa wajumbe baadhi ya wagombea walikuwa na nia za kujenga na kukarabati Ofisi zilizo katika matawi na majimbo.
 
Watoto wa marehemu mnateseka sana
ha ha ha - aisee ni kweli nimeanini kumbe kufiwa ni kubaya eee, jamaa wanaweweseka hatari - mara wamgeukie maza, mara wamgeukie Mbowe - ni kama madish yameyumba vile - signal hamna.
 
Wewe ndo mpuuzi kabisa, tunataka tupate chama cha siasa mbadala ili tuitoe CCM madarakani lkn kama vyama vyenyewe ndo hivi vyenye muundo wa CCM, kuna haja gani ya kuvipa nchi?
 
Sasa mtoto wa mchungaji siukamsaidie mzazi wall kuchunga kondoo,kazi za wengine waachie kwani zipo nje ya uwezo wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…