Kuna manufaa makubwa, tukiiga mfumo wa uteuzi wa mawaziri unaofanyika nchini Kenya

Kuna manufaa makubwa, tukiiga mfumo wa uteuzi wa mawaziri unaofanyika nchini Kenya

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,843
Reaction score
31,057
Huko nchini Kenya, uteuzi wa mawaziri unachukua mchakato mrefu, Hadi Waziri huyo aapishwe.

Hatua anazopitia Waziri huyo baada ya kupendekezwa na Rais kuwa Waziri ni jina lake kupelekwa Bungeni, Ili apitie katika "chekecho" ikiwa nafasi hiyo anastahili na iwapo wabunge hao wataridhika kutokana na maelezo ya Mbunge huyo mteule, ndipo jina Hilo linarudi Ikulu Ili aapishwe rasmi.

Kwa mfano katika hili sakata la vijana wa Gen Z wa Kenya walivyofanya maandamano nchi nzima, kushinikiza Baraza Zima la mawaziri watimuliwe, ndipo Rais Ruto, akatii amri hiyo na kupendekeza Baraza lingine la mawaziri 20 na kuyapeleka Bungeni, ambapo baada ya hao mawaziri waliopendekezwa na Rais Ruto kuhojiwa na Bunge Hilo, Waziri mmoja, hakupitishwa katika "kiti moto" hicho Cha wabunge.

Ndipo hivi leo nimeshuhudia Rais Ruto akiwaapisha mawaziri hao 19, bila jina la huyo Waziri wa jinsia Stella Soy, ambaye hakupitishwa Bungeni

Mambo ni tofauti kabisa hapa nchini kwetu, ambapo Rais akikuteua ndiyo Moja Kwa Moja "umeula" unasubiri kuapishwa na kuwa Waziri!

Ndiyo maana katika nchi yetu, machawa Kwa Rais Samia, wamekuwa wengi mno, Kwa kuwa wanamchukulia Rais wetu kama mungu-mtu, lile alifanyalo halipaswi kusahihishwa na Binadamu mwingine yoyote yule.

Hivi kweli tunategemea kupata maendeleo katika nchi hii, iwapo hata huo uteuzi utakuwa unaofanyika "kishikaji" ambapo hata kama wananchi tutakuwa tunajua kuwa aliyeteuliwa ana historiia ya maovu mengi sana aliyoyatenfa kabla, hakuna nafasi ya kupinga!

Kwa maana hiyo zipo sababu za msingi kabisa, zinazotolewa na mamilioni ya watanzania, kuwa ni LAZIMA tuwe na Katiba mpya ya nchi, ambayo itaondoa huo mfumo wa kumgeuza Rais wetu kuwa mungu-mtu itakayolingana na mazingira ya sasa ya nchi yetu

Mungu ibariki Tanzania
 
Na katiba yao inasema kama ulikuwa mbunge inabidi kuacha ubunge unapoteuliwa kuwa CS
 
Huko nchini Kenya, uteuzi wa mawaziri unachukua mchakato mrefu, Hadi Waziri huyo aapishwe.

Hatua anazopitia Waziri huyo baada ya kupendekezwa na Rais kuwa Waziri ni jina lake kupelekwa Bungeni, Ili apitie katika "chekecho" ikiwa nafasi hiyo anastahili na iwapo wabunge hao wataridhika kutokana na maelezo ya Mbunge huyo mteule, ndipo jina Hilo linarudi Ikulu Ili aapishwe rasmi.

Kwa mfano katika hili sakata la vijana wa Gen Z wa Kenya walivyofanya maandamano nchi nzima, kushinikiza Baraza Zima la mawaziri watimuliwe, ndipo Rais Ruto, akatii amri hiyo na kupendekeza Baraza lingine la mawaziri 20 na kuyapeleka Bungeni, ambapo baada ya hao mawaziri waliopendekezwa na Rais Ruto kuhojiwa na Bunge Hilo, Waziri mmoja, hakupitishwa katika "kiti moto" hicho Cha wabunge.

Ndipo hivi leo nimeshuhudia Rais Ruto akiwaapisha mawaziri hao 19, bila jina la huyo Waziri wa jinsia Stella Soy, ambaye hakupitishwa Bungeni

Mambo ni tofauti kabisa hapa nchini kwetu, ambapo Rais akikuteua ndiyo Moja Kwa Moja "umeula" unasubiri kuapishwa na kuwa Waziri!

Ndiyo maana katika nchi yetu, machawa Kwa Rais Samia, wamekuwa wengi mno, Kwa kuwa wanamchukulia Rais wetu kama mungu-mtu, lile alifanyalo halipaswi kusahihishwa na Binadamu mwingine yoyote yule.

Hivi kweli tunategemea kupata maendeleo katika nchi hii, iwapo hata huo uteuzi utakuwa unaofanyika "kishikaji" ambapo hata kama wananchi tutakuwa tunajua kuwa aliyeteuliwa ana historiia ya maovu mengi sana aliyoyatenfa kabla, hakuna nafasi ya kupinga!

Kwa maana hiyo zipo sababu za msingi kabisa, zinazotolewa na mamilioni ya watanzania, kuwa ni LAZIMA tuwe na Katiba mpya ya nchi, ambayo itaondoa huo mfumo wa kumgeuza Rais wetu kuwa mungu-mtu itakayolingana na mazingira ya sasa ya nchi yetu

Mungu ibariki Tanzania
Hayo yote yameainishwa kwenye katiba yao, hatuwezi iga mfumo wao kwa katiba hii
 
Hayo yote yameainishwa kwenye katiba yao, hatuwezi iga mfumo wao kwa katiba hii
Ndiyo maana nimesisitiza kuwa upo umuhimu mkubwa wa kuiandika upya Katiba yetu "mbovu" ya nchi, Ili tupate Katiba mpya itakayoendana na hali ya nchi ya hivi sasa

Kikwazo kimekuwa Kwa chama Tawala Cha CCM, ambacho ndicho kimekuwa kikikataa katakata, tupate Katiba mpya
 
CCM hawafuati katiba wana fuata ILANI ya chama chao. Ikitokea bahati mbaya katiba ikaandikwa upya muisahau CCM.
 
Mfumo wa Kenya unawalazimisha Mawaziri kuwajibika vema kwa wananchi. Huku kwetu wanawajibika zaidi kwa Rais aliyewateua!
 
Huko nchini Kenya, uteuzi wa mawaziri unachukua mchakato mrefu, Hadi Waziri huyo aapishwe.

Hatua anazopitia Waziri huyo baada ya kupendekezwa na Rais kuwa Waziri ni jina lake kupelekwa Bungeni, Ili apitie katika "chekecho" ikiwa nafasi hiyo anastahili na iwapo wabunge hao wataridhika kutokana na maelezo ya Mbunge huyo mteule, ndipo jina Hilo linarudi Ikulu Ili aapishwe rasmi.

Kwa mfano katika hili sakata la vijana wa Gen Z wa Kenya walivyofanya maandamano nchi nzima, kushinikiza Baraza Zima la mawaziri watimuliwe, ndipo Rais Ruto, akatii amri hiyo na kupendekeza Baraza lingine la mawaziri 20 na kuyapeleka Bungeni, ambapo baada ya hao mawaziri waliopendekezwa na Rais Ruto kuhojiwa na Bunge Hilo, Waziri mmoja, hakupitishwa katika "kiti moto" hicho Cha wabunge.

Ndipo hivi leo nimeshuhudia Rais Ruto akiwaapisha mawaziri hao 19, bila jina la huyo Waziri wa jinsia Stella Soy, ambaye hakupitishwa Bungeni

Mambo ni tofauti kabisa hapa nchini kwetu, ambapo Rais akikuteua ndiyo Moja Kwa Moja "umeula" unasubiri kuapishwa na kuwa Waziri!

Ndiyo maana katika nchi yetu, machawa Kwa Rais Samia, wamekuwa wengi mno, Kwa kuwa wanamchukulia Rais wetu kama mungu-mtu, lile alifanyalo halipaswi kusahihishwa na Binadamu mwingine yoyote yule.

Hivi kweli tunategemea kupata maendeleo katika nchi hii, iwapo hata huo uteuzi utakuwa unaofanyika "kishikaji" ambapo hata kama wananchi tutakuwa tunajua kuwa aliyeteuliwa ana historiia ya maovu mengi sana aliyoyatenfa kabla, hakuna nafasi ya kupinga!

Kwa maana hiyo zipo sababu za msingi kabisa, zinazotolewa na mamilioni ya watanzania, kuwa ni LAZIMA tuwe na Katiba mpya ya nchi, ambayo itaondoa huo mfumo wa kumgeuza Rais wetu kuwa mungu-mtu itakayolingana na mazingira ya sasa ya nchi yetu

Mungu ibariki Tanzania
Kwani Bongo hawajui Hilo ,ni basi Tu kujitoa ufahamu na kutokuwa na Nia njema na nchi Yao.
 
Ndiyo maana nimesisitiza kuwa upo umuhimu mkubwa wa kuiandika upya Katiba yetu "mbovu" ya nchi, Ili tupate Katiba mpya itakayoendana na hali ya nchi ya hivi sasa

Kikwazo kimekuwa Kwa chama Tawala Cha CCM, ambacho ndicho kimekuwa kikikataa katakata, tupate Katiba mpya
Maccm ndio kikwazo cha katiba mpya! Majizi makubwa ya kura!
 
Mfumo wa Kenya unawalazimisha Mawaziri kuwajibika vema kwa wananchi. Huku kwetu wanawajibika zaidi kwa Rais aliyewateua!
Absolutely true

Hapa kwetu, watu wanalazimika kuwa machawa, Ili wapate uteuzi, ambao huyo Rais amepewa mamlaka ya ki-mungu-mtu, ambaye uteuzi hautakiwi kuhojiwa popote😎

Ndiyo sababu kubwa inayofanya hapa kwetu, mikeka inatangazwa Kila baada ya siku mbili!, Kwa kuwa huyo Rais anateua Kwa ule mtindo wa try and error!😚
 
Huku kwetu mishangingi ya saluni inateuliwa ukuu wa wilaya, vibenten unajibu PM, masheikh ujumbe wa bodi na kila aina ya teuzi za kingese zisizo na uhusiano wowote na utendaji kazi
 
Tufanye mpango wa kuiba katiba ya Kenya ili itumike nchini kwetu
 
Tufanye mpango wa kuiba katiba ya Kenya ili itumike nchini kwetu
Kwa manufaa mapana ya nchi yetu, ni lazima tuwe na Katiba mpya, ingawa kikwazo ni haya majitu ya Sisiem, yasiyoitaka hiyo Katiba mpya.

Kwa kuwa wanajua.ni wao pekee, wanaonufaika na Katiba hii, ambayo ni ya mfumo wa chama kimoja, wakati nchi yetu ipo Kwenye mfumo wa vyama vingi
 
Na katiba yao inasema kama ulikuwa mbunge inabidi kuacha ubunge unapoteuliwa kuwa CS
Huko nchini Kenya, uteuzi wa mawaziri unachukua mchakato mrefu, Hadi Waziri huyo aapishwe.

Hatua anazopitia Waziri huyo baada ya kupendekezwa na Rais kuwa Waziri ni jina lake kupelekwa Bungeni, Ili apitie katika "chekecho" ikiwa nafasi hiyo anastahili na iwapo wabunge hao wataridhika kutokana na maelezo ya Mbunge huyo mteule, ndipo jina Hilo linarudi Ikulu Ili aapishwe rasmi.

Kwa mfano katika hili sakata la vijana wa Gen Z wa Kenya walivyofanya maandamano nchi nzima, kushinikiza Baraza Zima la mawaziri watimuliwe, ndipo Rais Ruto, akatii amri hiyo na kupendekeza Baraza lingine la mawaziri 20 na kuyapeleka Bungeni, ambapo baada ya hao mawaziri waliopendekezwa na Rais Ruto kuhojiwa na Bunge Hilo, Waziri mmoja, hakupitishwa katika "kiti moto" hicho Cha wabunge.

Ndipo hivi leo nimeshuhudia Rais Ruto akiwaapisha mawaziri hao 19, bila jina la huyo Waziri wa jinsia Stella Soy, ambaye hakupitishwa Bungeni

Mambo ni tofauti kabisa hapa nchini kwetu, ambapo Rais akikuteua ndiyo Moja Kwa Moja "umeula" unasubiri kuapishwa na kuwa Waziri!

Ndiyo maana katika nchi yetu, machawa Kwa Rais Samia, wamekuwa wengi mno, Kwa kuwa wanamchukulia Rais wetu kama mungu-mtu, lile alifanyalo halipaswi kusahihishwa na Binadamu mwingine yoyote yule.

Hivi kweli tunategemea kupata maendeleo katika nchi hii, iwapo hata huo uteuzi utakuwa unaofanyika "kishikaji" ambapo hata kama wananchi tutakuwa tunajua kuwa aliyeteuliwa ana historiia ya maovu mengi sana aliyoyatenfa kabla, hakuna nafasi ya kupinga!

Kwa maana hiyo zipo sababu za msingi kabisa, zinazotolewa na mamilioni ya watanzania, kuwa ni LAZIMA tuwe na Katiba mpya ya nchi, ambayo itaondoa huo mfumo wa kumgeuza Rais wetu kuwa mungu-mtu itakayolingana na mazingira ya sasa ya nchi yetu

Mungu ibariki Tanzania
 

Attachments

  • 5781825-51775523b226d8414338068b2d50cfec.mp4
    3 MB
Back
Top Bottom