Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Sina muda na zero brain mimindo umpeleke akanyooshwe huoni kapinda au humpendi mwenzako
Sent from my KIBITI District using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina muda na zero brain mimindo umpeleke akanyooshwe huoni kapinda au humpendi mwenzako
Ntajie yangu wewe utakua unatumia laptop mana sikuoniHilo hata mimi nimelishangaa leo!!
Poa mkuuHii iphone 7 yangu ikiandika natumia tecno hapo chin naivunja leo
Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Msalimie bashiteNshaipa dawa
Sent from koromije using bashite
we unadhani imeingiaje [emoji38]Haya maksudi sasa hiyo nokia tochi imeingiaje humu?
Usiwe hivyo umaana wa mtu haubadilishwi ki hivyoKuna mtu nilikuwa namuona wa maana kumbe anatumia tecno [emoji23]
kichaka cha tecnoTecno mmepatikana leo [emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Nimeongea kiutaniUsiwe hivyo umaana wa mtu haubadilishwi ki hivyo
Kuna siku nilikuona unatumia sijui tecno gani vile!!!Ntajie yangu wewe utakua unatumia laptop mana sikuoni
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Msalimie bashite
Nime shangaa kwakweliKwahiyo kumbe umaana wa mtu unapungua kwa kutumia tecno!!!
Hii simu yako mbona sijaijua swahibaa[emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app