Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,943
Hivi wanawashirikisha hao wake zao? Au ni suprise? Kisheria inawezekana?
Labda sheria za Msumbiji.
Mbinu mpya ya kuchepuka kwenye urafiki wa mashaka
Ushabiki maandazi,sema kila mtu ana taka kuonja mke wa mwenzie hakuna namna
Kwanini wasiweke bondi tigo zao??
Ushabiki maandazi,sema kila mtu ana taka kuonja mke wa mwenzie hakuna namna
Kwanini wasiweke bondi tigo zao??
Maduka ya vilainishi hayapo huko Mbozi
Ila Yanga leo tutalala na viatu. Ila nina swali!! Kama simba wana huo mpira ilikuwaje kwa mbao na ndanda?
Wanawake zao wamewavunjia heshima
Confidential😀😀😀