kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Kuna NGO nilifanya nao first interview last week kwa njia ya zoom meeting,sasa juzi wakanipigia kuwa leo niende kwa second interview pale ofisini kwao mikocheni.
Tulikua mtu kama 8 au 7 hivi kama sikosei.tumepiga interview mpaka saa 7 mchana,sasa kila msailiwa alikua akitoka kwenye chumba cha usaili anapewa 50,000/=wanakuambia it is for transport cost+lunch.
Aisee wale jamaa atakaebahatika kupata hiyo kazi atakua kasahau shida za ulimwengu kwa muda.kwanza wenyewe hawana cha kuficha kuhusu mambo ya salary,pale pale kwenye interview wametuambia our budget for this position is 2,857,000/= PM.
Kwa kweli nimewapenda bure.
Haka ka 50k walikonipa ngoja nikapooze koo langu hapo kwa Mama pili.
Wazungu wana utu sana for sure
Tulikua mtu kama 8 au 7 hivi kama sikosei.tumepiga interview mpaka saa 7 mchana,sasa kila msailiwa alikua akitoka kwenye chumba cha usaili anapewa 50,000/=wanakuambia it is for transport cost+lunch.
Aisee wale jamaa atakaebahatika kupata hiyo kazi atakua kasahau shida za ulimwengu kwa muda.kwanza wenyewe hawana cha kuficha kuhusu mambo ya salary,pale pale kwenye interview wametuambia our budget for this position is 2,857,000/= PM.
Kwa kweli nimewapenda bure.
Haka ka 50k walikonipa ngoja nikapooze koo langu hapo kwa Mama pili.
Wazungu wana utu sana for sure