Kuna maswali ya fikirisha kwa tukio la mauaji Selander Bridge

Kuna maswali ya fikirisha kwa tukio la mauaji Selander Bridge

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Naomba tujiulize maswali haya!

1. Mhalifu alikuwa na silahaa mbili na moja iliyokuwa hana tumia ni kama AK-47!

Je, Tanzania upande wa usalama inafikiria nini kuhusu silaha kali ambazo si rahisi kukuta nayo mwananchi labda majambazi tena wachache wenye matukio makubwa au wahalifu wachache!

2. Njia aliyokuwepo ni sehemu ya wanaopita viongozi sana,na sehemu ambayo kuna watu wakubwa wanatumia barabara hiyo kuelekea kwenye ofisi, makazi, balozi na n.k

Je, alikuwa akimtaka nani kufanya lolote, kama hawa wafatao:

1. Ubalozi au mabalozi
2. Viongozi wa serekali au sio wa serekali
3. Mwananchi
3. Kwa nini baada ya Tanzania kuanza kutangaza kuwa kuna magaidi ndo haya yamekuwa?

Je, inaonyesha kuwa serekali umakini umepotea kwenye vyombo vya usalama na kama wamekuja kutubeep kuwa wapo!
ila hakuna sehemu au kikundi chochote kilichotamkwa.

4. Kwanini baada ya kufa na mda si mchache watu wameweza kumfahamu kwa haraka?

5. Kuna wakati alikuwa hana toa maneno huku akiwa na hasira!
alikuwa hana toa maneno gani!

6. Kwanini aliwalenga wale walinzi binafsi upande wa geti.

Naomba mdadavue tupate kujua ukweli

IMG_0049.jpg

IMG_0050.jpg
 
Swali lako namba 4, watu wamemfahamu haraka kutokana na taarifa kutoka kwa wanaomfahamu hata kama asingekufa angekamatwa bado angejulikana kwa tukio alilofanya.
 
Cha kwanza jifunze kuandika vizuri,mambo ya kutuandikia hana,wakati ulitakiwa kuandika ana hatutaki,pili huyo jamaa kwa taarifa zilizozagaa alikua na pistol ndipo alipowaua askari watatu kwa ambush then akawanyang'anya hizo silaha alizokua anatapa nazo ila pia tuendelee kusubiri taarifa kamili jioni hii.
 
naomba tujiulize maswali haya!

1-muhalifu alikuwa na silahaa mbili na moja iliyokuwa hana tumia ni kama AK-47.!

je tanzania upande wa usalama inafikiria nini kuhusu silaha kali ambazo si rahisi kukuta nayo mwananchi labda majambazi tena wachache wenye matukio makubwa au wahalifu wachache!

2-njia aliyokuwepo ni sehemu ya wanaopita viongozi sana,na sehemu ambayo kuna watu wakubwa wanatumia barabara hiyo kuelekea kwenye ofisi,makazi,balozi na n.k!

je alikuwa akimtaka nani kufanya lolote !
kama hawa wafatao
1-ubalozi au mabalozi
2-viongozi wa serekali au sio waserekali
3-mwananchi
3-kwa nini ! baada ya tanzania kuanza kutangaza kuwa kuna magaidi ndo haya yamekuwa!
je inaonyesha kuwa serekali umakini umepotea kwenye vyombo vya usalama na kama wamekuja kutubeep kuwa wapo!
ila hakuna sehemu au kikundi chochote kilicho tamkwa.

4-kwa nini ! baada ya kufa na mda si mchache watu wameweza kumfahamu kwa haraka.!
View attachment 1907990
View attachment 1907991

5-kuna wakati alikuwa hana toa maneno huku akiwa na hasira!
alikuwa hana toa maneno gani!

6-kwa nini aliwalenga wale walinzi binafsi upande wa geti !

naomba mdadavue tupate kujua ukweli
Ajabu ni pale alipovamia askari na kuwaua na kuchukua silaha
 
Naomba tujiulize maswali haya!

1. Mhalifu alikuwa na silahaa mbili na moja iliyokuwa hana tumia ni kama AK-47!

Je, Tanzania upande wa usalama inafikiria nini kuhusu silaha kali ambazo si rahisi kukuta nayo mwananchi labda majambazi tena wachache wenye matukio makubwa au wahalifu wachache!
Narudia tena;

Tukio la leo limeonyesha ni jinsi gani Polisi huwa wanadanganya, wanasema uongo pale wanaposema tulipambana na majambazi tukawaua wote, hakuna Polisi aliyejeruhiwa.

Sasa huwa mnaua majambazi sita leo mtu mmoja amewapiga kirahisi namna hii? Polisi gani wanajipeleka kirahisi hivyo kupigwa risasi?

Mkome kuua watu na kusema uongo, hata kama hao watu ni wahalifu. Leo ndio tumejua uwezo wenu wa kupambana na watu wenye silaha - ni kwamba hamna ujuzi wowote, kazi kuonea raia wasio na silaha.

Na kwako Siro, naona ulikuwa una hamu sana ya kukabiliana na magaidi. Umeona sasa jinsi magaidi wa kweli walivyo, sio hao wa kusingizia unaowasema wewe

Nasikitika kwa wanafamilia waliofiwa, lakini sina ka kusikitika kwa Polisi kama jeshi. You had it coming. Mmeomba magaidi mkampata gaidi wa kweli.
 
Mmoja kuua wawili, na kumi kuua mmoja. Mmoja kuua wengi ni kwa sababu, wengi walikuwa easy au loose target. Full stop
Sio 10 kuua mmoja maana ni 9 kupiga maiti! Maana baina ya hao 10 aliempopoa ni mmoja tu!
 
Back
Top Bottom