Unahudumiwa kila kitu na tunda hujala? Basi shida sio kuachwa shida ni hujui kutongoza.
Labda maumivu hapo ni hujui kutongoza hivyo umehudumia ukidhani ndo kutongoza then hela ikaenda bure hivyo.
Hapa issue ni mindet yako dunia kuna wanawake zaidi ya billion4 huwezi kuwalala wote hivyo kutokula tunda sio big deal kabisa.
Shida ni mtu hajui kutongoza kwahiyo mwanamke anakuadhibu kwa kukuchuna then badae anaweza kuamua kukuonea kahuruma akakupa tunda sasa asipokupa ndo unapata maumivu ya kupoteza hela na kuachwa.