stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,884
- 4,479
Atengue tu maana tumeshakosa nyimbo zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo nilimsahau watakao pandishwa ni
jaffo
na yule msukuma luhaga mpina
Ikifika kwa wakuu wa mikoa aanzie Dar es salaam.Tengua teua na iendelee
Vipi jafo mna uhusiano nini maana umepiga debe mpaka nashtuka.huyo nilimsahau watakao pandishwa ni
jaffo
na yule msukuma luhaga mpina
ndio nina mahusiano naye wote rais wetu ni magufuli na kiongoz wetu wa upinzani ni mbowe na rais wetu wamoyoni ni lowassaVipi jafo mna uhusiano nini maana umepiga debe mpaka nashtuka.
Mangu au marealle atakayeondoka kwenye taasisi nyeti??
Simaanishi uhusiano wa kisiasa .namaanisha undugu au mpenzi wako labda.ndio nina mahusiano naye wote rais wetu ni magufuli na kiongoz wetu wa upinzani ni mbowe na rais wetu wamoyoni ni lowassa
Haaaah [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]google utajua mke wa jaffo
Na yeye akiwa ameozaNampa pole sana Mkuu wa Kaya.Ana kazi ngumu mno.Kurekebisha kaya iliyooza kimfumo ni kazi ngumu kweli kweli kwa sababu wanaopaswa kumsaidia ni 'mazao' ya mfumo huo huo uliooza.Ameikuta kaya kipindi kibaya,ila kwa dhamira yake thabiti aliyonayo Mungu atamuongoza.
Sitaki wanikwamisheKwa mujibu wa katiba rais anaweza kubadili baraza la mawari au ofisi/ ofisa muda wowote. Ni haki yake kikatiba.
shida yote ya nini? kama mambo hayaendi kwanini asijiudhulu kumpisha aliyeshinda uchaguzi kwa 62%Sitaki kutaja majina ila tetesi zilizopo ni kuwa
1 : Mkuu wa taasisi nyeti ya Serikali mmoja ataondolewa
2: Mawaziri wa baadhi ya wizara kupanguliwa.
Ni kutokana na mkuu analalamika mambo hayaendi kama anavyotaka yaende.
My take: pole yenu mtakaopatwa na mtikisiko.
Stay tuned