Kuna Mdada aged around 25, usiku huu simjui hanijui, kaning'aninia nimuoe

Lugano5

R I P
Joined
Jul 15, 2010
Posts
4,520
Reaction score
757
Wadada, msijirahisishe hivyo

Kuna Mdada aged around 25, usiku huu simjui hanijui, kaning'aninia nimuoe ni mmarangu ana watoto wawili,

Anataka nimuoe tu, Nimechukua namba zake Ila mpaka muda huu namfikiria, maana nimemwambia Nina mke anasema yupo tayari hivyo hivyo,nimekutana nae barabarani nilikuwa natembea kunyoosha miguu!

Naomba ushauri wenu, (hapa nimeshawaza kimasihara)
 
Sasa na wewe unasubiri nini?
Muwowe faster
 
Weka picha...
 
Kweli wanaume wameisha dunia hii. Hili nalo ni la kuja kulia lia JF?? Toa maamuzi kama mwanaume ya kukubali ama kukataa. Period!
 
Sema kwel bwanaaaa,, nyoosha vizuri maelezo kuwa umemtongoza, lakn baada ya yeye kuwa mkweliii kuwa Ana watoto wawili wataka Ushauri..

Ushauri wangu UMUOE ..
 

Muoe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…