Kuna mdada nadate nae ila sasa nimeanza kumchoka

Kuna mdada nadate nae ila sasa nimeanza kumchoka

Jstar1

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2019
Posts
1,391
Reaction score
1,347
Aisee wakuu, kuna mdada nadate nae ila sasa nimeanza kumchoka, saivi tuna takriban miezi 7.

ila kila week lazima nilale nae ata mara 4 au zaidi ila saiv nmemchoka, maana nikimpga bao moja nakua sitaki kuendelea kabisa.

Natamani nimuache niwe na demu mpya maana sina hisia nae kabisa na ni mzuri ana shape kubwa sana, ila ndo hivi hisia nae zimekata maana nmelala nae sana
 
Aisee wakuu, kuna mdada nadate nae ila sasa nmeanza kumchoka, saivi tuna takribani miezi 7.

ila kila week lazima nilale nae ata mara 4 au zaidi ila saiv nmemchoka, maana nkimpga bao moja nakua sitaki kuendelea kabisa.

Natamani nimuache niwe na demu mpya maana sina hisia nae kabisa na ni mzuri ana shape kubwa sana, ila ndo ivi hisia nae zimekata maana nmelala nae sana
Bado hamjafunguwa shule mid term?
 
Aisee wakuu, kuna mdada nadate nae ila sasa nmeanza kumchoka, saivi tuna takribani miezi 7.

ila kila week lazima nilale nae ata mara 4 au zaidi ila saiv nmemchoka, maana nkimpga bao moja nakua sitaki kuendelea kabisa.

Natamani nimuache niwe na demu mpya maana sina hisia nae kabisa na ni mzuri ana shape kubwa sana, ila ndo ivi hisia nae zimekata maana nmelala nae sana
Weka na kapicha basi ka huyo mdada pamoja na namba zake za sim
 
Aisee wakuu, kuna mdada nadate nae ila sasa nmeanza kumchoka, saivi tuna takribani miezi 7.

ila kila week lazima nilale nae ata mara 4 au zaidi ila saiv nmemchoka, maana nkimpga bao moja nakua sitaki kuendelea kabisa.

Natamani nimuache niwe na demu mpya maana sina hisia nae kabisa na ni mzuri ana shape kubwa sana, ila ndo ivi hisia nae zimekata maana nmelala nae sana
Una umri gani??
 
Ni Asilimia chache Sana ya wanaume unafurahia sex au wanaenjoy mahusiano waliyonayo upande wa faragha na hii ni kutokana na wanawake wengi kuchukia sex kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kutendwa ambapo inafanya performance kuwa mbaya

Wanaume wanaona gharama za uendeshaji zinakuwa kubwa kuliko kile wanachopata kwa wapenzi wao Kwa maana furaha ya mwanaume yeyote ktk mahusiano ni sex tu .

Mahusiano mengi yanadumu kwa sababu ya kuzoeana Tu na mpenzi wako Tu , we mzoee Tu utaona kawaida Tu na siku zitasonga.
 
Aisee wakuu, kuna mdada nadate nae ila sasa nmeanza kumchoka, saivi tuna takribani miezi 7.

ila kila week lazima nilale nae ata mara 4 au zaidi ila saiv nmemchoka, maana nkimpga bao moja nakua sitaki kuendelea kabisa.

Natamani nimuache niwe na demu mpya maana sina hisia nae kabisa na ni mzuri ana shape kubwa sana, ila ndo ivi hisia nae zimekata maana nmelala nae sana
Ni-pm nikusaidie kuhodhi!!
 
Aisee wakuu, kuna mdada nadate nae ila sasa nmeanza kumchoka, saivi tuna takribani miezi 7.

ila kila week lazima nilale nae ata mara 4 au zaidi ila saiv nmemchoka, maana nkimpga bao moja nakua sitaki kuendelea kabisa.

Natamani nimuache niwe na demu mpya maana sina hisia nae kabisa na ni mzuri ana shape kubwa sana, ila ndo ivi hisia nae zimekata maana nmelala nae sana
Piga chini Huyo Mkuu
 
Peaneni space, ushajua tatizo ni kuonana kila mara basi punguzeni kuonana mara kwa mara hii itafanya mkumbukane na siku mkionana utafurahi tendo,

Unaweza ukani PM namba ya Mdada nina jambo la kuteta nae
[emoji51]
 
Unapew hvyo 3/4 per week alafu unatak kumuacha
 
Kila siku unapita njia moja ni lazima hali iyo ikutokee kijana. Ebu jaribu njia ya pili ile inayoelekea kwa mpalange siunaijua ehe...! Kijana. Nazani ujawai kupita sasa kajaribu alafu njoo unipe jibu.🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom