Kuna mdada nadate nae ila sasa nimeanza kumchoka

Kuna mdada nadate nae ila sasa nimeanza kumchoka

Ukioa itakuaje hapo, bado utamchoka mke wako pia maana hiyo ni kama test ya kuishi na mke.
 
Aisee wakuu, kuna mdada nadate nae ila sasa nmeanza kumchoka, saivi tuna takribani miezi 7.

ila kila week lazima nilale nae ata mara 4 au zaidi ila saiv nmemchoka, maana nkimpga bao moja nakua sitaki kuendelea kabisa.

Natamani nimuache niwe na demu mpya maana sina hisia nae kabisa na ni mzuri ana shape kubwa sana, ila ndo ivi hisia nae zimekata maana nmelala nae sana

Ukikua utajua mapenzi sio kukazana ni more than feelings and body desire
 
Haya maisha hayako fair kabisa! Imagine watu tunalazimisha demu aje geto tena kwa mbinde na uongo mwingi ila kuna mwamba kwa week anapewa bure mara 4 ila anachoka!!!
 
Hamna upendo apo. Mda mdogo ivo ushamchoka!!
Na kwann umchoke??.
Then kuna namna nyingi sana za kulifanya penzi liwe hot yaniiiii..
Usikute mnanyanduana sehem moja kila siku, em taften muda mkalale ata lodge.
 
Sasa utaachaje kuchoka wakati kila siku ni mechi na wachezaji ni walewale hata kashushwa lazima uchoke tena sio pekeako unakuta na yeye kachoka ila asemi.

Mapenzi hisia kwann ziishe
 
Hata Mimi nilimuacha kwa sababu hiyo hiyo kimbia faster
 
Tupigie pass ya kisigino, tuone kama atakuwa na shida
 
Mabaharia wapo wengi wanasubiri conection yako,kama umemchoka fanya huyo atakuwa mpya kwa mtu kama mm
Ni pm na contact zake kabisa
 
Aisee wakuu, kuna mdada nadate nae ila sasa nmeanza kumchoka, saivi tuna takribani miezi 7.

ila kila week lazima nilale nae ata mara 4 au zaidi ila saiv nmemchoka, maana nkimpga bao moja nakua sitaki kuendelea kabisa.

Natamani nimuache niwe na demu mpya maana sina hisia nae kabisa na ni mzuri ana shape kubwa sana, ila ndo ivi hisia nae zimekata maana nmelala nae sana
Acha uzinzi nakushauri uokoke...kila mtu unaelala naye ujue unafanya agano naye bila ya wewe kujua...kama ana roho za matatizo na mikosi katika ukoo wao nawe unazibeba...Believe me it will surely cost you ...Mimi nilikuwa muhanga wa hiyo kitu kuna kipindi utakuta umebeba roho za matatizo mengi bila kujijua na mipango yako mingi itavurugika...Mungu akusaidie macho ya kiroho......TURN TO GOD AND BE SAVED...
 
Back
Top Bottom