Kuna member huyu weekend hawaonekani

Wale wa internet za kazini hata ukiwatukana Ijumaa jioni kama amesha log off. Utajibiwa Monday morning.
Hahaha
Hapa nasemwa mimi kabisa
Haya mlio ni quote huu ndo muda wangu wa kuwajibu.

Pm kama mlinialika juzi na Jana lunch/dinner bila shaka mjue itakuwa Leo

Kwa sababu aliyotolewa na ndugu
Sky Eclat
 
Hahaha mkuu umenichekesha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…