Hii thread ina lengo la kufuta "nyayo"
Mzee wa Nonde unatafutwa pale Kalobe
Mkuu wale wanajua kuwa ni verfied, em tukutane pale Moshono @Club D[emoji1] [emoji1]
Bezikalee hapa unanigombanisha na watawa.
Acha umbea
Kama kawaidaaa mkuu, si unajua maji ya ukili na iliki yanachosha piaUpo Arusha?
Ndio nimekubaliEti mnafanana?
kufananisha sio tu sura bhna. Kuna ule msemo Ukiona njugu unadhani ni njege na ukiona njege unadhani ni njugu, humu ndani kwa baadhi ya member unajidhihirisha.
Humu kuna members huwa wanafanana saana unakuta mwandiko unaendana, avatar, mawazo kwenye michango n.k.
sina maana ya Mult-Ids hapana.
nitaanza na hawa nawafananisha saana na huwa naona wanaendana hadi najiuliza si mtu mmoja??
- Karucee na afrodenzi
- Mwanyasi na Tobaa
- Nyani Ngabu na @dnjabu da dude
- KakaJambazi na Pdidy
- GOOGLE na Iceman 3D
-Yegomasika na Yamakagashi
Kwa aliyemsoma Afrodenzi lazima alione hili kwa Karucee.Umenifanya niwaze haraka haraka kuhusu Karucee na Afrodenzi. Ni kweli hawa watu kwenye michango yao wanashabihiana sana wote hawa wana mtazamo huru na wako free kufikisha ujumbe wao vile watakavyo wao badala ya kuangalia jamii inataka kusikia lipi.
Halafu nimemmiss afrodenziUmenifanya niwaze haraka haraka kuhusu Karucee na Afrodenzi. Ni kweli hawa watu kwenye michango yao wanashabihiana sana wote hawa wana mtazamo huru na wako free kufikisha ujumbe wao vile watakavyo wao badala ya kuangalia jamii inataka kusikia lipi.
DaaaahKumbe wanaume pia wana-Vijembe.