Kuna member JF wanafafanana humu

Kuna member JF wanafafanana humu

Umenifanya niwaze haraka haraka kuhusu Karucee na Afrodenzi. Ni kweli hawa watu kwenye michango yao wanashabihiana sana wote hawa wana mtazamo huru na wako free kufikisha ujumbe wao vile watakavyo wao badala ya kuangalia jamii inataka kusikia lipi.

kufananisha sio tu sura bhna. Kuna ule msemo Ukiona njugu unadhani ni njege na ukiona njege unadhani ni njugu, humu ndani kwa baadhi ya member unajidhihirisha.

Humu kuna members huwa wanafanana saana unakuta mwandiko unaendana, avatar, mawazo kwenye michango n.k.

sina maana ya Mult-Ids hapana.
nitaanza na hawa nawafananisha saana na huwa naona wanaendana hadi najiuliza si mtu mmoja??

- Karucee na afrodenzi

- Mwanyasi na Tobaa

- Nyani Ngabu na @dnjabu da dude

- KakaJambazi na Pdidy

- GOOGLE na Iceman 3D

-Yegomasika na Yamakagashi
 
Umenifanya niwaze haraka haraka kuhusu Karucee na Afrodenzi. Ni kweli hawa watu kwenye michango yao wanashabihiana sana wote hawa wana mtazamo huru na wako free kufikisha ujumbe wao vile watakavyo wao badala ya kuangalia jamii inataka kusikia lipi.
Kwa aliyemsoma Afrodenzi lazima alione hili kwa Karucee.

Wanashabihiana saana, they comment like they don't care... na kwenye kuchanganya kimalikia.
 
Umenifanya niwaze haraka haraka kuhusu Karucee na Afrodenzi. Ni kweli hawa watu kwenye michango yao wanashabihiana sana wote hawa wana mtazamo huru na wako free kufikisha ujumbe wao vile watakavyo wao badala ya kuangalia jamii inataka kusikia lipi.
Halafu nimemmiss afrodenzi
 
Back
Top Bottom