Kuna members humu hawapewi Ban hii ni double standard

Kwa hii mada yako ya uchochezi,unastahili ban nyingine inaonekana ile ya mwanzo haijakusaidiaa!
 
Sijawahi kupewa ban ndiyo kitu gani ?
 
Kwani mimi ulishawahi nikuta na ban?
 
Ban nyingi wanapata wanaume kutokana na kuwa na mihemko ya kike

Ban nyingi wanapata wanaume halafu mihemuko ni ya kike!

Huwa nashangaa sana wanaume wanapofanya mambo ya hovyo mnasema ni mambo ya kike wakati wanaoongoza kuyatenda ni wanaume,pathetic.
 
Ukitaka usipate ban milele, we tembelea na kuchangia jukwaa la utambulisho na kilimo, uvuvi na mifugo hakuna ban kule
 
iv Kati ya MCHAGA NA BANGI nan anataka moshi??

ACHA BANGI IITWE BANGI!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…