Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetajiwa mashirika/taasisi tatu Ila ulivyo kiazi umeongeza HalmashauriHuko TANESCO na TRA Tanzania wako watumishi wangapi?, ukipata jibu utaelewa kwa nini watumishi wa serikali za mitaa wengi sio matajiri.
Kwenye TGS na TGTS kuna umaskini wa kutupwa na vumbi la kutosha sana.Huko TANESCO na TRA Tanzania wako watumishi wangapi?, ukipata jibu utaelewa kwa nini watumishi wa serikali za mitaa wengi sio matajiri.
Wanabutua hadi aibuInategemea uchangamfu wako, upo kitengo Gani na kiwango chako Cha maadili.
Duh mkuu acha kuharibu vijanaHukosi laki 3 minimum kwa siku
Ukiajiriwa hizi Taasisi . Wewe umeuaga umaskini mazima au uwe Zombi na mlevi au mpenda ngono kupitiliza. Posho kama zote pia ya kubrashia viatu nje nje
Fikra zako hizo niambie immigration anapataje hizo laki 3 kwa sikuHukosi laki 3 minimum kwa siku
Wewe ijenge nchi kwa upande wako wacha wanaotusua watusue tu.Mkuu Andrew123 Salam kwako. Nimesikitishwa na kampeni unayoianzisha ya kushabikia wizi na ulaji wa rushwa (Pesa ya kubrushia viatu). Kama kila mtu akitamani taasisi Fulani kwavile ina mianya ya kula rushwa & wizi nchi itaendelea kweli? I am disappointed!!!
So tz nzima kuna wachina?Wachina kibao wanaingia bila vibali (airport), viwandani,. Construction sites, godowns