Kuna mgomo Manchester United. Wachezaji hawamtaki Mourinho

Mou ana wachezaji wazuri mno na mahusiano yake na wachezaje ndiyo yanamtafuna haoni klopp mwenzake anavyowapa moyo wachezaji wake...timu ina wachezaji wa kawaida ila mahusiano baina ya boss na wachezaji ni mazuri na hujenga timu nzuri
 
Man Utd si ya kuifananisha na liver kwa aina ya wachezaji mkuu,

kuanzia beki hadi kiungo kuna wachezaji watatu tu wa maana, bailly, matic na pogba,

Hawa wengine hawakustahili kabisa kua pale

wanakuzwa na media tu.
Wewe nawe una upofu ama,Liverpool haina wachezaji wazuri kuliko Man united, kinacho watofautisha ni spirit ya kupambana uwanjani,na klopp anatambua upendo na good relationship kwa wachezaji ndiyo key to his success
 
Wenzetu wanaangalia pesa na ndoto pia...uwezi jua ndoto yake ni kuja kucheza moja ya izo timu
 
Wewe nawe una upofu ama,Liverpool haina wachezaji wazuri kuliko Man united, kinacho watofautisha ni spirit ya kupambana uwanjani,na klopp anatambua upendo na good relationship kwa wachezaji ndiyo key to his success
sawa mkuu naheshimu imani yako.
 
Acha upuuzi lofa wewe you know nothing about united , Mara ya mwisho united kucheza mechi za saba za mwanzo na kuambulia point 7 ni mwaka 1980s , yani msimu this season mechi saba za mwanzo ni worse tangu miaka ya 80, huoni tofauti tu ??

Kila rekodi mbovu itavunjwa....hii inaashiria hakuna kitu kinadumu milele dunian, hata mtoa roho naye ipo siku ataskia maumivu ya kutokwa na roho. United ya sasa ni timu kubwa kwenye balance sheet ila ukiileta uwanja haina tofaut na westham, totten ham, everton and the like. Km ukikataa hili ni kuendeleza kuumiza mwili wako kwa pressure tu. Manchester ya leo furaha inatawala baada ya dakika 90 mpira kuisha. Rekod nying mbov znaendelea kuvunjwa toka aondoke fagason kuanzia kufungwa na stoke, swansea ndan ya old trafford mpaka kupigwa na vitimu vilivyopanda daraja. Mtu sahihi alipaswa awe pep walau angeitoa united hapa ilipo kuipeleka kwingne kuzur ila huyu "mmakonde mweupe" sio mtu sahihi kabisa. Toka day one nilisema huyu akifikisha misimu mitatu hajatimuliwa sidhan. Naona maneno yangu yanaenda kutimia sasa.
 
sawa mjenga hoja
Usitimue hoja za ubaguzi eti kwa kuwa wachezaji weusi hawana akili, sasa wazungu watubague na amwatuite nyani na sisi wenyewe tujiseme vibaya au wewe mwenzetu ni mzungu...hoja ya kusema wachezaji weusi hawana akili ifutulie mbali kabisa...humuoni DIDER DROGBA alivyojenga heshima pale bridge Chelsea mashabiki wote mpaka leo wanamuita king..wewe na hoja zako za ngozi nyeusi its too cheap for making reason
 
Ndio maana nimesema wachezaji wengi wenye asili ya afrika na si wote
 
Mourinho should leave United,

Niliamua kususia kutizama game zote za United mpaka Mourinho ameondoka UNITED.


The guy should leave!

#MOURINHO OUT
 
Kwa mara ya kwanza kumuona Jose ni alipowasili London kuwa Mensah wa Chelsea. Du alikuwa na kasura katamu
 
Mou nae ameikuta timu ipo kwenye hali mbaya huwezi kufananisha sir alex na Mou
Sir Alex aliikuta Man U mbovu kuliko hii ya Morinho mwaka 1986/87 wakati anajiunga na timu! Sema tuu mzee Fergie ni mwalinu wa mpira na huyu Morinho ni mbabaishaji! Labda ndio vile wasemavyo kuwa ana 'areji' na msimu wa tatu kwa timu anazofundisha! Asepe tu mbinu zake zimeshapitwa na wakati
 
Mimi mwenyewe nimemshangaa! Real madrid na Barca ni same level na Man U kweli?
 
Pumba kwa wachezaji kama baily na fellaini si pumba izo lukaku umfananishe na firmino,nyie mmetuzd kipa na pogba basi ila mfano uyu sanchez wa sshv n mdogo sana kwa mane uyu bado sijamtaja salah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…