Kuna mgomo Manchester United. Wachezaji hawamtaki Mourinho

Kuna mgomo Manchester United. Wachezaji hawamtaki Mourinho

Aiseeee kwa hio hata de gea anakuzwa na media? duh man u ina wachezaji vipaji ila hawatumiwi ipasavyo.
Tatizo la kocha anajijua mwenyewe kila aendapo anachukiwa na wachezaji
Man Utd si ya kuifananisha na liver kwa aina ya wachezaji mkuu,

kuanzia beki hadi kiungo kuna wachezaji watatu tu wa maana, bailly, matic na pogba,

Hawa wengine hawakustahili kabisa kua pale

wanakuzwa na media tu.
 
Naona hunijui vizuri wewe Snafu,



Unaonekana ulikimbia umande, sasa nakusubiri ujipendekeze tena ili nikuoneshe kwanini chips hazina ukoko.


Karibu tena .
duh sipo hapa kujua mtu mkuu,

tunaizungumzia Man Utd na sio daudbashite aliezaliwa miaka ya 90

naomba tuishie hapa kumbe ndio maana wenzako hua wanakupuuza kwenye uzi wenu kule.
 
Aiseeee kwa hio hata de gea anakuzwa na media? duh man u ina wachezaji vipaji ila hawatumiwi ipasavyo.
Tatizo la kocha anajijua mwenyewe kila aendapo anachukiwa na wachezaji
De gea ulimuona WC?
 
Aiseeee kwa hio hata de gea anakuzwa na media? duh man u ina wachezaji vipaji ila hawatumiwi ipasavyo.
Tatizo la kocha anajijua mwenyewe kila aendapo anachukiwa na wachezaji
No nmesema kuanzia beki hadi viungo numbisa
 
mourinho hana anachofundishs zaidi ya kulinda..wachezaji wengi hawapendi,plus kuwashutumu wachezaji mbele ya media
 
Mkuu ulimuona Messi wa WC? Huyo huyo umemuona UEFA na LIga utasema kisa aliboronga WC basi kaisha au?

De gea bado yupo imara,magoli anayapangua vizuri tu,yanayoingia sio kosa lake sababu hachezi peke yake ndani ya Man u
Kubali tu de gea kiwango sasa kipo chini
 
Mkuu ulimuona Messi wa WC? Huyo huyo umemuona UEFA na LIga utasema kisa aliboronga WC basi kaisha au?

De gea bado yupo imara,magoli anayapangua vizuri tu,yanayoingia sio kosa lake sababu hachezi peke yake ndani ya Man u
Mesi naye kachoka tu
 
Huyo Pogba mwenyewe nina mashaka na kichwa chake! Jamaa uwezo wake upstairs inaonekana upo chini sana ;mchezaji wa Man Utd mwenye akili zake hawezi kubabaika kwenda Barca au Real ,Manchester ni timu kubwa Duniani same level na huko wachgezaji washamba wengi wanakobabaishwaga! maana Dogo mshahara anaolipwa Old Traford Barca hawawezi kumpa believe me. Sasa timu imempa hela hiyo halafu yeye hataki kuipa respect humo kichwani mwake kuna nini?

Upande mwingine bodi nayo ina nakisi Fulani sababu haiwezekani timu ina uwezo na mapato yanaongezeka kila mwaka halafu mmbanie kocha hela ya kusajili, Wana sababu gani wasimpe hela ya usajili hata kama alipewa hela nyingi huko nyuma?, EPL ya miaka hii ya karibuni hivi kuna kutoboa kweli bila kusajili?

Braza are u real serious? Mbona unaongea jazba kuliko facts. Wachezaji wote mashuhuri na wazuri duniani ndoto yao kubwa ni kucheza barca au madrid hilo unalijua sema una zile style za kuunga mkono juhudi. David beckam na christiano ronaldo wote walikua wafalme united ila walitimkia madrid. Usichokielewa ni kwamba kimpira united ni timu kubwa uingereza, barca na madrid ni timu kubwa dunian. Unasema hawawez kumlipa mshahara anaolipwa pale united braza acha comedy bas dah. Hiv unajua pogba analipwa shngap? Hzo pesa zake pale barca ndio wanalipwa wakina busquet.
 
Kwajinsi nilivyosoma kichwa chako cha Habari nilidhani unauhakika kuwa wanamgomo, kumbe umeangalia upepo na hali ya mambo yanavyokwenda tu.
 
Back
Top Bottom