Samico Tanzania
JF-Expert Member
- Feb 6, 2022
- 486
- 1,237
Kwa hali ninavyona mimi!
Elimu yetu afrika iko nyuma sana na ulimwengu unavyokwenda kwa kasi!
Elimu yetu inakwenda kuwa siyo kitu cha kujivunia tena kuwa nacho maana haitakuwa na msaada kiuchumi!
Elimu yetu itakwenda kuongeza utapeli mwingi kwa watu
Elimu yetu inakwenda kuwafungia watu kwenye chumba cha kusubiri kutumwa (ajira)
(Elimu inakwenda kuwalock down ya watu)
Wajinga wanaotakiwa kutumwa na kutumika watakuwa wachache sana hivyo wasomi watalazimika kwenda kusomea ujinga ili wafanikiwe!
Yaani zile kazi za kujitoa akili zitakuwa zinalipa sana na hazitahitaji CV kuajiliwa, Zitakuwa na faida kuliko PHD ambayo haizalishi ajira!
Elimu yetu afrika iko nyuma sana na ulimwengu unavyokwenda kwa kasi!
Elimu yetu inakwenda kuwa siyo kitu cha kujivunia tena kuwa nacho maana haitakuwa na msaada kiuchumi!
Elimu yetu itakwenda kuongeza utapeli mwingi kwa watu
Elimu yetu inakwenda kuwafungia watu kwenye chumba cha kusubiri kutumwa (ajira)
(Elimu inakwenda kuwalock down ya watu)
Wajinga wanaotakiwa kutumwa na kutumika watakuwa wachache sana hivyo wasomi watalazimika kwenda kusomea ujinga ili wafanikiwe!
Yaani zile kazi za kujitoa akili zitakuwa zinalipa sana na hazitahitaji CV kuajiliwa, Zitakuwa na faida kuliko PHD ambayo haizalishi ajira!