Kuna mifumo mingi ya sayari na maisha mengine kama ya dunia yetu

Kuna mifumo mingi ya sayari na maisha mengine kama ya dunia yetu

maganjwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
2,800
Reaction score
2,339
Kama solar system ina sayari tisa na jua ndiyo kitovu cha maisha, njoo tuangalie yafuatayo

Tumesoma na kuelewa kuwa jua ni nyota na tukaambiwa tunaona kubwa kwa kuwa iko karibu na nyota tunaziona
ndogo kwa kuwa iko mbali lakini inaweza kuwa kubwa zaidi ya jua letu. Hoja ni kwamba kama ndo iko hivyo basi kuna mifumo mingi ya sayari in the universe kama ilivyo mfumo wa kwetu na pia kuna maisha kama yalivyo kwa sayari yetu ya dunia na nyota yake jua.

Kama tungekuwa na uwezo wa kutembelea mifumo hiyo basi tungeona mbali lakini kwa mawazo tu mimi naona kuna maisha ya kupendeza huko kuliko ya kwetu hapa kweye nyota yetu kwa maana nyota ni asili ya maisha kwa kwa dunia yetu kwa kuwa nguvu zote zinatoka kwake.

Swali ni je kwanini yasiwezekane huko deep in space kama kwa hapa yamewezekana?

Karibuni tuongeze maarifa
 
kama sola system ina sayari tisa na jua ndiyo kitovu cha maisha.

Njo tuangalie yafuatayo

tumesoma na kuelewa kuwa jua ni nyota na tukaambiwa tunaona kubwa kwa kuwa iko karibu. nyota tunaziona
ndogo kwa kuwa iko mbali lakini inaweza kuwa kubwa zaidi ya jua letu. hoja nikwamba kama ndo iko hivo basi kuna mifumo mingi ya sayari in the universe kama ilivyo mfumo wa kwetu na pia kuna maisha kama yalivyo kwa sayari yetu ya dunia na nyota yake jua. kama tungekuwa na uwezo wa kutembelea mifumo hiyo basi tungeona mbali lakini kwa mawazo tu mimi naona kuna maisha ya kupendeza huko kuluko ya kwetu hapa kweye nyota yetu. kwa maana nyota ni asili ya maisha kwa kwa dunia yetu kwa kuwa nguvu zote zinatoka kwake.

swali ni je kwanini yasiwezekane huko deep in space kama kwa hapa yamewezekana? karibuni tuongeze maarifa
Sio kila nyota inaweza kuwa jua( Sun) ..

Ni chance chance sana za nyota zinapata kuwa Jua.

Nyota itaitwa jua kama itakuwa katikakati ya galaxy na kufanya izungulwe na sayari husika katika galaxy hiyo..

A star is called a "sun" if it is the center of a planetary system. A large number of planets have been found that orbit other stars, thus making these stars officially "suns." Chances are that a large percentage of the stars in the galaxy also have planets orbiting them, which would make them suns as well.

kwa hiyo kama nyota itakuwa pembeni ya galaxy haiwezi itwa jua..ni strictly prohibited and not be applicable..

Kama nyota zilizopo kwenye galaxy nyingine zipo katikati na kufanya sayari zilizopo kuzunguka nyota zile basi zitageuka na kuitwa Suns..
 
Bado utafiti unaendelea wanaanga wanajitahidi kadri ya uwezo wao...
Ila sasa mkuu sisi viumbe tuliopo Duniani tunatumia gesi ya Oxygen ili tuishi na tunaambiwa huko kwenye sayari za mbali hakuna hewa hii je, tutaishije?
 
Ulimwengu ni mkubwa sanaa kiukweli napendaa kufatilia masala haya ya anga ilaa nimefukunyua ya milk way nikachoka mwenyewe
 
Sio kila nyota inaweza kuwa jua( Sun) ..

Ni chance chance sana za nyota zinapata kuwa Jua.

Nyota itaitwa jua kama itakuwa katikakati ya galaxy na kufanya izungulwe na sayari husika katika galaxy hiyo..

A star is called a "sun" if it is the center of a planetary system. A large number of planets have been found that orbit other stars, thus making these stars officially "suns." Chances are that a large percentage of the stars in the galaxy also have planets orbiting them, which would make them suns as well.

kwa hiyo kama nyota itakuwa pembeni ya galaxy haiwezi itwa jua..ni strictly prohibited and not be applicable..

Kama nyota zilizopo kwenye galaxy nyingine zipo katikati na kufanya sayari zilizopo kuzunguka nyota zile basi zitageuka na kuitwa Suns..
Jua letu halipo katikatiya Milky Way Galaxy tuliyomo.

Katikati ya galaxy kuna fujo sana, kwanza kuna supermassive black hole.

milkyway_arms.gif


Inakadirikwa kwamba kuna galaxies trilioni 2

A universe of 2 trillion galaxies
arxiv.org/pdf/1607.03909v2.pdf

Tukichukulia Milky Way galaxy kamagalaxy ya wastani, ina nyota 100 billion

Sasa fanya hesabu 100 billion mara 2 trillion kupata wastani wa nyota katika ulimwengu unaojulikana.

Hizo ni nyota 200,000,000,000,000,000,000,000.

Let's say 0.0000000001 of these have a planet harboring life.

That's still some 20,000,000,000,000 stars

Of these, 160 billion are estimated to be in our very own galaxy.

160 Billion Alien Planets May Exist in Our Milky Way Galaxy
 
Nawaza tu, kuna viumbe wengine(sio lazima wawe wanadamu au wanjama) wanaishi kwenye Sayari Zingine nje ya Dunia.
 
Jua letu halipo katikatiya Milky Way Galaxy tuliyomo.

Katikati ya galaxy kuna fujo sana, kwanza kuna supermassive black hole.

milkyway_arms.gif


Inakadirikwa kwamba kuna galaxies trilioni 2

A universe of 2 trillion galaxies
arxiv.org/pdf/1607.03909v2.pdf

Tukichukulia Milky Way galaxy kamagalaxy ya wastani, ina nyota 100 billion

Sasa fanya hesabu 100 billion mara 2 trillion kupata wastani wa nyota katika ulimwengu unaojulikana.

Hizo ni nyota 200,000,000,000,000,000,000,000.

Let's say 0.0000000001 of these have a planet harboring life.

That's still some 20,000,000,000,000 stars

Of these, 160 billion are estimated to be in our very own galaxy.

160 Billion Alien Planets May Exist in Our Milky Way Galaxy
well done..

But what makes our sun shines bigger despite of being involved in a trilions of stars..
??

Unahisi jua ni kubwa kuliko star zingine..?? is it possible tuamini usemi wa kwamba , jua ni star ambayo ipo karibu na solar system ?? Nahitaji maelezo hapa..


Lakini pia.....
mimi binafsi naweza kubali na kusema kuwa ndani ya milky way galaxy kuna bilions of planatory systems depending na kila kundi la sayari zinazozunguka specific star iliyopo karibu...au hapa wewe unasemaje mkuu..??

Na kwa mantiki hiyo basi kama ndani ya milky way galaxy tumebahatika kugundua mfumo wa solar system( yani mfumo wa sayari zinazolizunguka jua ambalo ni among the stars ndani ya milky way galaxy yenye bilions of stars ambazo kila stari inaunda system yake( kama ilivyo star( jua) ambayo imeunda solar system)) na kwa hiyo kuna other solar system ndani ya miliky way galaxy ambazo zipo na hazipatiwa ufumbuzi na zina idadi flani ya sayari zinazozunguka.

Make kama sayari zetu 9 sijui 11 ambazo mpaka sasa ndo zinafahamika na zina viumbe ambao hawajawekwa wazi ,basi hata system zingime zinazoundwa na other stars zina viumbe weingine ambao civilization zao zinaweza kuwa tofauti na sisi au tukawa na some paring configuration DNA na wao..

Nawaza kwa akili pana lakini kichwa changu kinachemka snaa ..

ngoja ninywe maji kidogo
 
well done..

But what makes our sun shines bigger despite of being involved in a trilions of stars..
??

Proximity,we are simply closer to it.

Unahisi jua ni kubwa kuliko star zingine..??

Jua ni nyota ya wastani tu, myota kama Betelgeuse nikubwa mara 700 ya jua letu na inang'aa mara 1400.

Nyota kubwa kabisa inayojulikana, UY Scuti ina radius mara karibu 1800 ya ileya jua

List of largest stars - Wikipedia

How Big is the Sun? | Size of the Sun

is it possible tuamini usemi wa kwamba , jua ni star ambayo ipo karibu na solar system ??

Jua ndiyo lipokatikati ya solar system. Unaposema "Solar" hiyo Sol ndiyo jua. Katika lugha kama Kireno, jua linaitwa "Sol", ndiyo maana kuna sehemu inaitwa "Costa do Sol" Coast of Sun.

Kwa hiyo, "solar system" ni mfumo wa jua,sayari na vingine vilivyo katikauwanda wa jua.

kwa hiyo naweza kubali na kusema kuwa ndani ya milky way galaxy kuna bilions of planatory systems depending na kila kundi la sayari zinazozunguka specific star iliyopo karibu...au hapa wewe unasemaje mkuu..??

Mpaka leo kuna sayari 3779 zimekuwa confirmed, hizi ni zile zilizo nje ya mfumo wetu wa jua. Kuna sayari mabilioni huko zinasubiri kuwa discovered.

Kwenye Milky way galaxy kuna nyota takriban 100 billion, kama asilimia moja tu ya hizi zina sayari, hizo ni sayari bilioni moja.

Hiyoniestimate ya chini sana,kwamilky way galaxy ty, kuna galaxies trillion mbili huko kwingine


NASA Exoplanet Archive

Na kwa mantiki hiyo basi kama ndani ya milky way galaxy tumebahatika kugundua mfumo wa solar system( yani mfumo wa sayari zinazolizunguka jua ambalo ni among the stars ndani ya milky way galaxy yenye bilions of stars ambazo kila stari inaunda system yake( kama ilivyo star( jua) ambayo imeunda solar system)) na kwa hiyo kuna other solar system ndani ya miliky way galaxy ambazo zipo na hazipatiwa ufumbuzi na zina idadi flani ya sayari zinazozunguka.

Kama 1% ya nyota za Milky way galaxy zina sayari, hizo ni sayari bilioni moja.

Make kama sayari zetu 9 sijui 11 ambazo mpaka sasa ndo zinafahamika na zina viumbe ambao hawajawekwa wazi ,basi hata system zingime zinazoundwa na other stars zina viumbe weingine ambao civilization zao zinaweza kuwa tofauti na sisi au tukawa na some paring configuration DNA na wao..

Hapa bado uchunguzi zaidi unahitajika.

Nawaza kwa akili pana lakini kichwa changu kinachemka snaa ..

ngoja ninywe maji kidogo

Hahaa, baaden.
 
Proximity,we are simply closer to it.



Jua ni nyota ya wastani tu, myota kama Betelgeuse nikubwa mara 700 ya jua letu na inang'aa mara 1400.

Nyota kubwa kabisa inayojulikana, UY Scuti ina radius mara karibu 1800 ya ileya jua

List of largest stars - Wikipedia

How Big is the Sun? | Size of the Sun



Jua ndiyo lipokatikati ya solar system. Unaposema "Solar" hiyo Sol ndiyo jua. Katika lugha kama Kireno, jua linaitwa "Sol", ndiyo maana kuna sehemu inaitwa "Costa do Sol" Coast of Sun.

Kwa hiyo, "solar system" ni mfumo wa jua,sayari na vingine vilivyo katikauwanda wa jua.



Mpaka leo kuna sayari 3779 zimekuwa confirmed, hizi ni zile zilizo nje ya mfumo wetu wa jua. Kuna sayari mabilioni huko zinasubiri kuwa discovered.

Kwenye Milky way galaxy kuna nyota takriban 100 billion, kama asilimia moja tu ya hizi zina sayari, hizo ni sayari bilioni moja.

Hiyoniestimate ya chini sana,kwamilky way galaxy ty, kuna galaxies trillion mbili huko kwingine


NASA Exoplanet Archive



Kama 1% ya nyota za Milky way galaxy zina sayari, hizo ni sayari bilioni moja.



Hapa bado uchunguzi zaidi unahitajika.



Hahaa, baaden.

🙂 🙂 sawa mkuu kwa input kubwa sana
 
Kuna pahala nilisoma kuwa kutokana na ukubwa galaxy somewhere kuna the same person as you. Ila ni ngumu kuhitimisha kuwa hakuna sehem nyingine ina maisha au hata viumbe wengine. Explorations bado zinahitajika kwa kweli.
 
Hakuna mzee.
Mungu aliichagua dunia tu.
Ndo maana hata kwenye vitabu vyake.ametaja mbinguni na duniani.
Yaani tukitoka duniani.makazi ya pili ni mbinguni.
Vipi siku vikigundulika viumbe wengine. Na wenye uwezo kushinda sisi binahadamu, je utaendelea kumuamini mungu.
 
Binahadamu wanaweza kuishi apo Alpha B.
Kuna sehemu nimesoma tena wanasema ule uvumbuzi kwamba kuna sayari iliyopo katika mfumo wa nyota wa Alpha Centauri ulikuwa na makosa.

Alpha Centauri haina sayari iliyothibitishwa mpaka sasa.
 
Back
Top Bottom