Kuna mifumo mingi ya sayari na maisha mengine kama ya dunia yetu

Kuna mifumo mingi ya sayari na maisha mengine kama ya dunia yetu

Kama solar system ina sayari tisa na jua ndiyo kitovu cha maisha, njoo tuangalie yafuatayo

Tumesoma na kuelewa kuwa jua ni nyota na tukaambiwa tunaona kubwa kwa kuwa iko karibu na nyota tunaziona
ndogo kwa kuwa iko mbali lakini inaweza kuwa kubwa zaidi ya jua letu. Hoja ni kwamba kama ndo iko hivyo basi kuna mifumo mingi ya sayari in the universe kama ilivyo mfumo wa kwetu na pia kuna maisha kama yalivyo kwa sayari yetu ya dunia na nyota yake jua.

Kama tungekuwa na uwezo wa kutembelea mifumo hiyo basi tungeona mbali lakini kwa mawazo tu mimi naona kuna maisha ya kupendeza huko kuliko ya kwetu hapa kweye nyota yetu kwa maana nyota ni asili ya maisha kwa kwa dunia yetu kwa kuwa nguvu zote zinatoka kwake.

Swali ni je kwanini yasiwezekane huko deep in space kama kwa hapa yamewezekana?

Karibuni tuongeze maarifa
We tafuta hela tu Huu upumbavu wa kisasa utakufanya uzidiwe upumbavu
 
Bado utafiti unaendelea wanaanga wanajitahidi kadri ya uwezo wao...
Ila sasa mkuu sisi viumbe tuliopo Duniani tunatumia gesi ya Oxygen ili tuishi na tunaambiwa huko kwenye sayari za mbali hakuna hewa hii je, tutaishije?
Hakuna sayari ila kuna dunia mwezi na nyota, Over
 
Proximity,we are simply closer to it.



Jua ni nyota ya wastani tu, myota kama Betelgeuse nikubwa mara 700 ya jua letu na inang'aa mara 1400.

Nyota kubwa kabisa inayojulikana, UY Scuti ina radius mara karibu 1800 ya ileya jua

List of largest stars - Wikipedia

How Big is the Sun? | Size of the Sun



Jua ndiyo lipokatikati ya solar system. Unaposema "Solar" hiyo Sol ndiyo jua. Katika lugha kama Kireno, jua linaitwa "Sol", ndiyo maana kuna sehemu inaitwa "Costa do Sol" Coast of Sun.

Kwa hiyo, "solar system" ni mfumo wa jua,sayari na vingine vilivyo katikauwanda wa jua.



Mpaka leo kuna sayari 3779 zimekuwa confirmed, hizi ni zile zilizo nje ya mfumo wetu wa jua. Kuna sayari mabilioni huko zinasubiri kuwa discovered.

Kwenye Milky way galaxy kuna nyota takriban 100 billion, kama asilimia moja tu ya hizi zina sayari, hizo ni sayari bilioni moja.

Hiyoniestimate ya chini sana,kwamilky way galaxy ty, kuna galaxies trillion mbili huko kwingine


NASA Exoplanet Archive



Kama 1% ya nyota za Milky way galaxy zina sayari, hizo ni sayari bilioni moja.



Hapa bado uchunguzi zaidi unahitajika.



Hahaa, baaden.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti Mara 1400
 
binafsi napenda san kufuatilia gunduz zinazofanywa na Nasa! but up to now hakun sehemu yeyote waliyogundua kwamb kun viumbe hai ila tu ni assumption kwamb kun baadh ya sayar ambaz zipo nje ya mfumo wetu wa jua ambazo kutokan na muonekano wake bas wanatiliashak kuna uwezekano wa kusapport maisha ya viumbe hai!
Binafsi hat kma bad hakun evidence but naamin kabsa kun sayar nying ten sio moja ambaz kimsingi kuna maish yanaendelea kam huku duniani na ni miaka mingi san baadae hivi vitu vitajulikana tuuu na hiyo yote itachangiwa na ukuaji wa teknolojia n.k..
kwamfano tukichukulia mfumo wetu wa jua (solar system) kun sayar nane na sio tisa nadhan kam nimfatiliaji utakua unalijua hl why nane! ambazo kimsingi sayar zote znazunguk jua but jua ni nyoto ndogo en scientist wanasem kun nyota kubwa san ten san zaid ya jua na kuna nyota ndogo zaid ya jua so na pia kun sayar zinazunguak hizo nyota as mfumo wetu ulivyo! so naamin kabisa sio leo wala kesho but ipo sikuuu miaka ming san san ijayo watakuja tu kujua na kugundua sayar ambazo kuna viumbe hai wanamna yeyot ile na sayar zinazosaport maisha!!!!
 
Kama solar system ina sayari tisa na jua ndiyo kitovu cha maisha, njoo tuangalie yafuatayo

Tumesoma na kuelewa kuwa jua ni nyota na tukaambiwa tunaona kubwa kwa kuwa iko karibu na nyota tunaziona
ndogo kwa kuwa iko mbali lakini inaweza kuwa kubwa zaidi ya jua letu. Hoja ni kwamba kama ndo iko hivyo basi kuna mifumo mingi ya sayari in the universe kama ilivyo mfumo wa kwetu na pia kuna maisha kama yalivyo kwa sayari yetu ya dunia na nyota yake jua.

Kama tungekuwa na uwezo wa kutembelea mifumo hiyo basi tungeona mbali lakini kwa mawazo tu mimi naona kuna maisha ya kupendeza huko kuliko ya kwetu hapa kweye nyota yetu kwa maana nyota ni asili ya maisha kwa kwa dunia yetu kwa kuwa nguvu zote zinatoka kwake.

Swali ni je kwanini yasiwezekane huko deep in space kama kwa hapa yamewezekana?

Karibuni tuongeze maarifa
Kuna galaxy nyingi tu duniani, kila galaxy ina mkusanyiko wa system kama za solar zaidi ya mabilioni, ila tatizo kufika huko kuna umbali wa light years millions, ndomana hatuwez kufika huko kwa teknolojia yetu ya sasa
 
Kuna galaxy nyingi tu duniani, kila galaxy ina mkusanyiko wa system kama za solar zaidi ya mabilioni, ila tatizo kufika huko kuna umbali wa light years millions, ndomana hatuwez kufika huko kwa teknolojia yetu ya sasa
mkuu upo sahh teknolojia now iliyopo dunian ndio haiwez kusuport hat vyomb ambavy vinaez kusafr nakufk huk kwa wakt sahh ambapo kimsing n mamilion ya miakaaa!!! but naamin katik development of technology itafk tu kipnd patafikika tu kwa urahisi!
 
mkuu upo sahh teknolojia now iliyopo dunian ndio haiwez kusuport hat vyomb ambavy vinaez kusafr nakufk huk kwa wakt sahh ambapo kimsing n mamilion ya miakaaa!!! but naamin katik development of technology itafk tu kipnd patafikika tu kwa urahisi!
Kuna article moja nimesoma jana hivi kuwa scientist wameweza kufungua kitu kinaitwa quantum gate (teleportation gate) ila kuna marekebisho flani bado wanafanya...ngoja niiche ile link
 
Kuna article moja nimesoma jana hivi kuwa scientist wameweza kufungua kitu kinaitwa quantum gate (teleportation gate) ila kuna marekebisho flani bado wanafanya...ngoja niiche ile link
em ilet hum tuichek! Elon musk yey anaamin haya maisha tunayoishi tuvyozaliwa kufa n.k kuna viumbe ambavyo wanatucontrol.[emoji1] [emoji1]
 
em ilet hum tuichek! Elon musk yey anaamin haya maisha tunayoishi tuvyozaliwa kufa n.k kuna viumbe ambavyo wanatucontrol.[emoji1] [emoji1]
Elon Musk ni stupid man ambaye amefanikiwa kupata mkate wake wa kila siku sasa anajiona km level sawa na kina Gates na the late Jobs, ila simkubali wala nini, hana vision, ni engineer tu flani
 
Elon Musk ni stupid man ambaye amefanikiwa kupata mkate wake wa kila siku sasa anajiona km level sawa na kina Gates na the late Jobs, ila simkubali wala nini, hana vision, ni engineer tu flani
umejarbu kufatilia project zake, makampun yake na vitu alivyoplan kuafany na total investment aliyofanya! for sure nadhan miaka michache ijayo huy jamaa atafanikiwa san san san san nmejarb kumfatilia vzur hujamaa n futurist mzeeee n noma
 
umejarbu kufatilia project zake, makampun yake na vitu alivyoplan kuafany na total investment aliyofanya! for sure nadhan miaka michache ijayo huy jamaa atafanikiwa san san san san nmejarb kumfatilia vzur hujamaa n futurist mzeeee n noma
Just an engineer kwangu, vision yake iko kwenye "technology" na automation, future sio automation future ipo kwenye micro device, nano technology, quantum computing. Huko ndo disaster zinapoelekea
 
Back
Top Bottom