Cape Verde na Mauritania ziko wapi!Zitoe mauritania na capevarde sio nchi za Magharibi mwisho wa siku Cameroon yenyewe sio nchi ya magharibi ipo afrika ya kati.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cape Verde na Mauritania ziko wapi!Zitoe mauritania na capevarde sio nchi za Magharibi mwisho wa siku Cameroon yenyewe sio nchi ya magharibi ipo afrika ya kati.
Jopo la wachambuzi wametilia mashaka uhalali wa red card zote.Hapana. Ile foul ni ya wazi. Makosa kama yale mareferee wameambiwa watoe straight red card .
Mauritania ni magharibi sorry cape varde ni miongoni nwa visiwa ndani ya atlantic oceanCape Verde na Mauritania ziko wapi!
tena shabiki lialia .Bila shaka utakuwa shabiki wa Simba
Aliye nacho huongezewa na asiye nacho hunyang'anywa hata kidogo alichonacho! Hakuna mkakati wowote hapo, ni ufundi na umahiri tu ndiyo vinatamba kwenye gozi la kenge!Ninaangalia hii game ya Afcon kati ya Cape Verde na Senegal , kiukweli hii red card aliyopewa huyu mchezaji wa Cape Verde siyo Sahihi .
Nikilinganisha na yaliyotokea jana kati ya Wenyeji Cameroon na Comoro , ni wazi kwamba kuna Mkakati wa kuzibeba timu za ukanda mmoja , hii ni fedheha kwa Africa .
AiseeeAliye nacho huongezewa na asiye nacho hunyang'anywa hata kidogo alichonacho! Hakuna mkakati wowote hapo, ni ufundi na umahiri tu ndiyo vinatamba kwenye gozi la kenge!
GSM haoNinaangalia hii game ya Afcon kati ya Cape Verde na Senegal , kiukweli hii red card aliyopewa huyu mchezaji wa Cape Verde siyo Sahihi .
Nikilinganisha na yaliyotokea jana kati ya Wenyeji Cameroon na Comoro , ni wazi kwamba kuna Mkakati wa kuzibeba timu za ukanda mmoja , hii ni fedheha kwa Africa .
🤣🤣🤣🤣mawazo yao utawajua tutena shabiki lialia .