johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ugali Moto Mboga Moto. Kuna mkeka utatoka wakati wowote kuanzia sasa
Mlale kwa mang'amung'amu š¼
Mlale kwa mang'amung'amu š¼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
'ufedhuli'Chura kiziwi.. hakuna mkeka atatoa juu ya huo ufedhuri wake
Turekebishe tabia hayo ya ufedhuli au ufedhuri siyo hoja Kwa sasa.'ufedhuli'..
Anatafutwa na nani?Ndugu yangu Wambura ametafutwa sana
Wapigie familia ya chacha wangwe ujadili naoTurekebishe tabia hayo ya ufedhuli au ufedhuri siyo hoja Kwa sasa.
Mtoto wa chacha mwenye uchungu na baba yake yupo CHADEMA.Wapigie familia ya chacha wangwe ujadili nao
Unaijua dhamira yake moyoni!?.. unadhani kila mtu ana chama?..sumaye aliambiwa sumu haionjwiMtoto wa chacha mwenye uchungu na baba yake yupo CHADEMA.
Wewe ngurumbili wa Lumumba upo JF unawayawaya.
Dereva wa lissu yuko wapi?RIPOTI YA LISSU IKO WAPI HADI LEO KIMYA SAMIA NI MNAFIKI
Marehem alipinga nini!?..kuna mpingaji kuzidi lissu,mbowe na mdude,mbona wanadunda tu!?No intent of dealing with this situation.....
Madam President Samia Suluhu Hassan is herself responsible with these torture and killings of her critics....
Kama kweli atafanya hivyo, basi itakuwa ni kuwabadilishia majukumu ya watu wake Ili ku - restore trust ya wananchi wajinga wasioelewa....
Inamhusu IGP na Masauni au yule trafik aliyekua kwenye Tashrif kwa kua ameona ujambazi ukifanyika lkn hakuchukua hatua Wala kuripoti popote.Ugali Moto Mboga Moto. Kuna mkeka utatoka wakati wowote kuanzia sasa
Mlale kwa mang'amung'amu š¼