Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui mbinu za watawala wewe. Fikiri ktk engo nyingine. Usidhani kuwa gaidi huua wapingaji......Marehem alipinga nini!?
Lissu alipigwa risasi,nadharia yako ni upupu mtupu,zaidi ni kulazimisha husika wa mkuu wa dolaHujui mbinu za watawala wewe...
Mbinu Moja kuu ya watawala watetea madaraka yao ya kisiasa ni kutengeneza hofu (they create fear) miongoni mwa wananchi wanaounga mkono harakati za ukombozi za washindani wao kisiasa kwa kuteka, kutesa na kuua....
Kamwe hawalengi wanasiasa wakosoaji wakubwa na maarufu Ili kuepuka kuvuta sauti za jumuiya ya kimataifa....
Kwa hiyo, jamaa zako hawa (magaidi) si wajinga kurudia kumpiga risasi tena Tundu Lissu au Freeman Mbowe kwa sababu kamera na TV za dunia nzima zitaimulika Tanganyika....
Kabla ya kujiuliza swali hili, ulipaswa kuwa na fikra hizi ktk kichwa chako kwanza....!!
Kuna mtu hamalizi 2025!Ugali Moto Mboga Moto. Kuna mkeka utatoka wakati wowote kuanzia sasa
Mlale kwa mang'amung'amu 🐼
Unaona ni "upupu" kwa sababu wewe kichwa chako unafugia nywele tu lakini akili ni "zero" kiasi cha kukosa ufahamu binafsi wa kuchakata matukio na mambo yanayokujia au kukuzunguka...Lissu alipigwa risasi,nadharia yako ni upupu mtupu,zaidi ni kulazimisha husika wa mkuu wa dola
Umedai watawala huwa hawashambulii wapingaji wakubwa bali wadogi Ili kupeleka hofu,lissu mpingaji mkubwa na alishambuliwa..acha umbululaUnaona ni "upupu" kwa sababu huna akili za kukupa ufahamu binafsi wa kuchakata mambo...
Pole sana..
Kama utaleta majibu wanayohitaji Watanzania na taifa letu pendwa itakuwa jambo la kheri na Baraka kwa taifa hili.Ugali Moto Mboga Moto. Kuna mkeka utatoka wakati wowote kuanzia sasa
Mlale kwa mang'amung'amu 🐼
You are correct,kwa vile wamezoea kucheza na akili za WatanzaniaNo intent of dealing with this situation.....
Madam President Samia Suluhu Hassan is herself responsible with these torture and killings of her critics....
Kama kweli atafanya hivyo, basi itakuwa ni kuwabadilishia majukumu watu wake Ilibkuwapunguzia lawama walio kwenye Idara zinazo deal na usalama wa wa raia....
Kwa hiyo, she's just trying to control the political damage caused by the incidence hence restoring trust from the public...
Jifunze kusikiliza/kusoma maoni ya wenzako na kuyaelewa kabla ya kuandika kujibu...Umedai watawala huwa hawashambulii wapingaji wakubwa bali wadogi Ili kupeleka hofu,lissu mpingaji mkubwa na alishambuliwa..acha umbulula
Sifanyi huo ujinga,ujumbe wako ulikua dhahiriJifunze kusikiliza/kusoma maoni ya wenzako na kuyaelewa kabla ya kuandika kujibu...
Kwa ulichokiandika hapa, obvious hukunisoma na kuelewa maandishi contextually...
Ushauri wangu ni huu👇....
Rudi tena ukasome post yangu #23 niliyokukwoti, uelewe vizuri nikichokiandika kisha nirudie tena Ili tujadiliane kama watu wazima wenye uelewa na ufahamu...
Usiku mwema dude...
Hata usipofanya, haindoi fact kuwa wewe ni mjinga tu...Sifanyi huo ujinga,ujumbe wako ulikua dhahiri
Wewe siyo zao la kuinama na kusweka?Hata usipofanya, haindoi fact kuwa wewe ni mjinga tu...
Jina lako tu inamankusweke (inama nikusweke) linaakisi tabia na mwenenendo wako wa kijinga. Hakuna mtu safi, mwenye akili timamu na muungwana aweza kujipa jina hilo...!!
Jirekebishe...!
Ingekuwa ni britanicca ningekubali 95%Ugali Moto Mboga Moto. Kuna mkeka utatoka wakati wowote kuanzia sasa
Mlale kwa mang'amung'amu 🐼
Unaendelea kujidhalilisha JF!Ugali Moto Mboga Moto. Kuna mkeka utatoka wakati wowote kuanzia sasa
Mlale kwa mang'amung'amu 🐼
Family: Muislamu akifa kinachofuatia ni mazishi mengine ataamua AllahKuna mtu hamalizi 2025!
Na wewe inabidi uchunguzwe hapo Tanga unafanya niniUnaendelea kujidhalilisha JF!
Punguza umbea na porojo mtoto wa kiumeUgali Moto Mboga Moto. Kuna mkeka utatoka wakati wowote kuanzia sasa
Mlale kwa mang'amung'amu 🐼