Bongo kuna gari inaeza shika hii GTR?inakushangaza hiyo?!? hapa bongo kuna watu wana gari za 280km/hr yanazimaliza zote!!!. umemsahau pascal mayala na mpikipiki wake???!!??
Gari zito kupita maelezo. Tupate tangazo la mdhaminiThat thing is very slow!
Less than 30sec
Enzi za ujana wangu.Less than 30sec
Mbona huku bongo kwenye hizi Barbara zetu za twende sote watu wanamaliza vibati!!
Lengo hapa LA mleta uzi ni Nairobi expressway na sio 180
Kumbe umemgundua,🤣🤣mjanja mjanja huyuMbona huku bongo kwenye hizi Barbara zetu za twende sote watu wanamaliza vibati!!
Lengo hapa LA mleta uzi ni Nairobi expressway na sio 180
Wacha ujinga. Bongo hamna expressway. Barabara zenu zina bumps. Pia barabara zenu hazina interchange katika kila junction kwa hivyo huwezi kupiga 180 kph katika barabara za Tanzania bila kuhatarisha maisha.inakushangaza hiyo?!? hapa bongo kuna watu wana gari za 280km/hr yanazimaliza zote!!!. umemsahau pascal mayala na mpikipiki wake???!!??
Wacha uongo. Bongo kuna barabara gani ambayo unaweza kupiga 180 kph? Kuna barabara gani ambayo haina bumps na ina interchanges katika kila junction? Bongo ukipiga 180 kph unahatarisha maisha.Enzi za ujana wangu.
I think nina miezi sasa sijagusa 180. For real
Sidhani kama kuna barabara yoyote ya Bongo ambayo gari inaweza kufika 180 kph bila kuhatarisha maisha.Mbona huku bongo kwenye hizi Barbara zetu za twende sote watu wanamaliza vibati!!
Lengo hapa LA mleta uzi ni Nairobi expressway na sio 180
Popote pale 180km/h ni kuhatarisha maisha.Sidhani kama kuna barabara yoyote ya Bongo ambayo gari inaweza kufika 180 kph bila kuhatarisha maisha.
Kwani huyo unaemshangilia hajahatarisha maisha hapo? Gari za kawaida sana 180kph inafika less than 30sec sasa jiaminishe hapa Dar hakuna hio stretch.Wacha ujinga. Bongo hamna expressway. Barabara zenu zina bumps. Pia barabara zenu hazina interchange katika kila junction kwa hivyo huwezi kupiga 180 kph katika barabara za Tanzania bila kuhatarisha maisha.
Usiongee usivyovijua. Hizo ni ajali mbili tofauti. Kwenye hio ajali walikufa watu watatu. Sio huyo mwehu aliojirekodi.Mtanzania mmoja aliyejaribu huo upuuzi wa kupiga 180 kph alikufa kwa ujinga wake. Barabara ambalo ni single-carriageway,lina round-abouts na lina bumps utakuwa zuzu kujaribu kupiga 180 kph pale.