Johnson Fundi
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 1,386
- 1,207
we are used to it, na ukweli ndio huo,kubali, bisha ukweli ndio huo. high speed inahatarisha maisha uwe kwenye express way or whateverWacha ujinga. Bongo hamna expressway. Barabara zenu zina bumps. Pia barabara zenu hazina interchange katika kila junction kwa hivyo huwezi kupiga 180 kph katika barabara za Tanzania bila kuhatarisha maisha.