Kuna mliobahatika kuomba kazi Home Contruction Company na kupata

Kuna mliobahatika kuomba kazi Home Contruction Company na kupata

Vhagar

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
20,550
Reaction score
39,949
Heshima kwenu wanabodi.

Muda huu katika kuperuzi peruzi huku mtandaoni nimekutana na sponsored ads kwa kampuni inayoitwa Home contruction. Inasema ina miaka mitano hapa nchini. Ila binafsi ndio nimekutana nayo.

Imetoa nafasi za kazi kwa fani mbali mbali. Kwa nafsi yangu nikasema ngoja nikapply tu(nilifikiri ni bure) na maombi unatuma online kwa form maalumu iliyoko mtandaoni. Nimejaza mwisho nakutana na kwamba natakiwa kulipia 2500/= tsh via mtandao wa simu. Nikaona labda kuna mliofanikiwa mtupe mrejesho. Maana wanadai walishatoa nafasi na kuajiri mara ya kwanza.

Kilichonitia hofu nikaisearch google siipati. Site ya kampuni imekaa kidwanzi. No ya kupokea hela ya form imesajiliwa kwa jina binafsi.
Au ni aina mpya ya upigaji? Maana 2500 kama wakipatikana watu 50000 tu tayari unaongelea mil125+

Link yao hii
 
Hakuna/ pengine sijui

sehemu wanapoajiri Mtu na kuhitaji pesa yake!

labda Iwe ni rushwa
 
Na aliyeleta huu ujanja kwa kweli atapiga pesa ndefu.
Nilishaliona hilo tangazo FB sikulifungua coz nikajua tu ni la kitapeli yaani kampuni ilipie tangazo (sponsered ads) itangaze kazi kwa kipindi hiki.

Wakati kazi hazijatangazwa watu washaziomba zikitangazwa jua mtu kashapewa the rest ni ushahidi cjuhi huko gov.
 
Na mimi nilituma last year lakini hadi leo kimya.
Heshima kwenu wanabodi.

Muda huu katika kuperuzi peruzi huku mtandaoni nimekutana na sponsored ads kwa kampuni inayoitwa Home contruction. Inasema ina miaka mitano hapa nchini. Ila binafsi ndio nimekutana nayo.

Imetoa nafasi za kazi kwa fani mbali mbali. Kwa nafsi yangu nikasema ngoja nikapply tu(nilifikiri ni bure) na maombi unatuma online kwa form maalumu iliyoko mtandaoni. Nimejaza mwisho nakutana na kwamba natakiwa kulipia 2500/= tsh via mtandao wa simu. Nikaona labda kuna mliofanikiwa mtupe mrejesho. Maana wanadai walishatoa nafasi na kuajiri mara ya kwanza.

Kilichonitia hofu nikaisearch google siipati. Site ya kampuni imekaa kidwanzi. No ya kupokea hela ya form imesajiliwa kwa jina binafsi.
Au ni aina mpya ya upigaji? Maana 2500 kama wakipatikana watu 50000 tu tayari unaongelea mil125+

Link yao hii
 
“Home construction” yaani wanajenga kutokea home wanasubiri utume 2,500 waendelee kukaa home [emoji23][emoji23][emoji23] af Na wewe unaendelea kufanyia kazi home. Inawezekana Ndio maana wakaita home construction
 
Back
Top Bottom