Tetesi: Kuna mlipuko wa bomu Tena nchini Kenya Leo 26/01/2019

Uzuri tz hatunaga mahakama ya magaidi, ukipanda njugu lazima ule njugu...
 
Poleni sana majirani zetu. Hakika Mungu awaepushe na balaa la hao wanaojiita waasililamu feki..
 
Tv za Kenya zote ziko kimya mpaka sasa. Ila pole yao kama ni kweli




 
Kuna maswali ya kujiuliza hawa watu wanapataje siraha na zinaingia kwa njia ipi ivi ni kweli kwamba shabab wana viwanda vya kutengeneza siraha zao wenyewe maana wana mpaka magari ya jeshi na mizinga pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…