Kama kuna kitu kama nyoka kinatembea tumboni(kama nyoka dhaifu) upande wa kushoto na hasa wakati mtu anapokaa au kuinama(folding of stomach) ni nini?Hakuna maumivu ila 'kero'
Kuna vitu vingine vinavyo wasumbua binadamu ni vigumu kutambulika hata ukienda hospital madaktari wanashindwa kutambua but jibu ni moja tu mtafute JESUS maadam anapatikana,ni tatizo la kiroho zaidi mh.
Kuna vitu vingine vinavyo wasumbua binadamu ni vigumu kutambulika hata ukienda hospital madaktari wanashindwa kutambua but jibu ni moja tu mtafute JESUS maadam anapatikana,ni tatizo la kiroho zaidi mh.