Kuna msanii ataaga label yake muda simrefu

Learn to be wise nimewapa tu Code hayo mambo ya ushoga usinizoee kabisaa.
Mkuu since you want me to be wise let me give you a piece of advice wanaume hatuandikagi kode za kuja kufunguliwa na watu aisee hizo ni tabia za kike ( ukikasirika sawa), code pekee wanaume wanaandikaga ni hizi za programming. Unaandika mambo ya udaku and na unataka wanaume tusapoti yan tuwe tunapiga umbeya kama kina zuchu na kina mange kimambi and the likes masta ?. I swear to God mwanamke wako akijua we ndio mfunga code alafu wanawake ndio waje kuzifungua atashangaa sana, wanaume huwa tuna vitu vyetu, tunaangaliaga mpira, tunabishana siasa, tunasimuliana vita ya israel, we lift weight, tunasimuliana magari, nyumba na vitu kama hivyo mkuu, haya mambo ya kufungua kode kama sio za java, php, python na the likes waachie kina dada mzee.
 
Asipofata ushauri wako atakuwa na matatizo ya akili
 
Hii komenti imekaa ki-gentlemen sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesahau C++ na visual basic mkuu
 
Kunywa bia utulie kijana, bongo fleva ni usanii tosha kama bongo movie tu.....ule si muziki wa maana.
 
Lava lava? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Woiiiiiiih
 
Lava Lava [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni huyo kwenye avatar yako kwani ni msanii ana [emoji440] [emoji956] moja kaigiza ya Royal Tour na nyingine amesema ataitoa muda si mrefu kaigiza na wachina.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Kwan umeitwaa hapa? Mbna una makasiriko sana Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…