Emmanuel180
JF-Expert Member
- Dec 17, 2019
- 342
- 626
Bwana eeh niende moja kwa moja kwenye maada
Unakuta kuna mdada unamkubali sana goodluck unakuta yuko charm yaaan mchangamfu akikuona lazima akutaje jina kwa bashasha may be let say jina lako innocent utasikia innooooooooo yaaan kawaida kukuita ita ila ukimbamba ukatia vocal ana piga chin
Unahisi labda mazoea yataisha lakn waap tena akikukuta mahal hvo hvoo inooooo mambo halafu ukitia vocal ana chomoa
Hiiii ni nini au ni tabia tu mtu yuko hvo maana sisi wengine tunafikiriaga ni shobo mtoto kakueleewa sasa unajaribu bahat kwenda sawa anatoa nje
Eti JAMIII MAPENZ?[emoji16][emoji1787]
Unakuta kuna mdada unamkubali sana goodluck unakuta yuko charm yaaan mchangamfu akikuona lazima akutaje jina kwa bashasha may be let say jina lako innocent utasikia innooooooooo yaaan kawaida kukuita ita ila ukimbamba ukatia vocal ana piga chin
Unahisi labda mazoea yataisha lakn waap tena akikukuta mahal hvo hvoo inooooo mambo halafu ukitia vocal ana chomoa
Hiiii ni nini au ni tabia tu mtu yuko hvo maana sisi wengine tunafikiriaga ni shobo mtoto kakueleewa sasa unajaribu bahat kwenda sawa anatoa nje
Eti JAMIII MAPENZ?[emoji16][emoji1787]