Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka hapo nafikiri umezungumzia wanawake wenye aibu ndo huwa wanafanya hivyo lakini kuna wanawake wako na confidence anakuchangamkia, anakutania, kabla haujamtongoza na akawa anakupenda vile vile.
Huyo sio wa voko ni vitendo tu. Vuta geto chapa mtiBwana eeh niende moja kwa moja kwenye maada
Unakuta kuna mdada unamkubali sana goodluck unakuta yuko charm yaaan mchangamfu akikuona lazima akutaje jina kwa bashasha may be let say jina lako innocent utasikia innooooooooo yaaan kawaida kukuita ita ila ukimbamba ukatia vocal ana piga chin
Unahisi labda mazoea yataisha lakn waap tena akikukuta mahal hvo hvoo inooooo mambo halafu ukitia vocal ana chomoa
Hiiii ni nini au ni tabia tu mtu yuko hvo maana sisi wengine tunafikiriaga ni shobo mtoto kakueleewa sasa unajaribu bahat kwenda sawa anatoa nje
Eti JAMIII MAPENZ?[emoji16][emoji1787]
Bwana eeh niende moja kwa moja kwenye maada
Eti JAMIII MAPENZ?[emoji16][emoji1787]