Emmanuel180
JF-Expert Member
- Dec 17, 2019
- 342
- 626
Cjui wanakuaga vp[emoji1787][emoji1787]Umenikumbusha Mzee mi kuna mmoja... mpaka wash wanajua ni Demu wangu namega kisela aisee ....
....Maaana tukikutana mpka mikumbatio ya kinyamweziii...tabasam kama loote....anachangamka xana lakn huwezi amini nimefukuziaa xana anachomoaaaaaaaa Dadekii xijui shida hua iko wap aiseeee
Atafute hela si ndio?Mkuu kumbe bado unatongoza
EwaaaahAtafute hela si ndio?
Ina maana gani bidadaMsichana kukuchangamkia haina maana yakuwa anakupenda...
Tusiwe tunawaita maan mshahamia kweny majina jamani..... Sema nyie tunaowaita ita ndo hua ampo mioyoni mwetu lkn wale wengine wale lbd ndo wangeongeaBwana eeh niende moja kwa moja kwenye maada
Unakuta kuna mdada unamkubali sana goodluck unakuta yuko charm yaaan mchangamfu akikuona lazima akutaje jina kwa bashasha may be let say jina lako innocent utasikia Innooooooooo yaaan kawaida kukuita ita ila ukimbamba ukatia vocal ana piga chin
Unahisi labda mazoea yataisha lakn waap tena akikukuta mahal hivyoo hivyo Inooooo mambo halafu ukitia vocal ana chomoa
Hiiii ni nini au ni tabia tu mtu yuko hvo maana sisi wengine tunafikiriaga ni shobo mtoto kakueleewa sasa unajaribu bahat kwenda sawa anatoa nje
Eti JAMIII MAPENZ?[emoji16][emoji1787]
Kaka hapo nafikiri umezungumzia wanawake wenye aibu ndo huwa wanafanya hivyo lakini kuna wanawake wako na confidence anakuchangamkia, anakutania, kabla haujamtongoza na akawa anakupenda vile vile.Alafu Msichana ambaye anakuchangamkia na hujamtongoza mara nyingi Hana hisia na wewe, ndio maana anahiyo Confidence ya kukuchangamkia wengine mpaka kukutania.
Mwanamke akiwa anavutiwa na wewe anakosa kujiamini