Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Na kukawambwa pia.Ata Shukuru sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kukawambwa pia.Ata Shukuru sana
Ikitokea umeme umewaka wiki nzima bila kukatika najiunga na chama Cha mapinduzi (Ila sijui Ni mapinduzi ya rushwa au wizi wa pesa za umma)Hv sasa ni saa 1:24 pm napenda kumpongeza Dk. Samia kwa kutukatia umeme bila taarifa watanganyika wa wilaya ya KINO.Endelea tu.
KAZI ni kipimo cha UTU
Machawa wanashida sana ya kupata usingiziNightmare mkeka,
Watu siku hizi hawalali ikifika Saa 6-8 usiku , wanajua Muda wwt ubao utasoma.
Ataishia wewe na lichama lako la CHADEMA lililokataliwa Duniani na mbinguni.Muda wa Mama unaisha 2025
Hivi kabudi yuko wapi ?Najua itawawia vigumu kuamini hili lakini ndio ukweli. KUNA mstaafu MASHUHURI huenda akalamba TEUZI wakati wowote kuanzia sasa jiandaeni kumpa Maua yake.
Katiba unaijua wewe? Endelea kupiga usingizi huenda ukaota kitu cha maana
Cheo hicho hupewa mbunge wa kuchaguliwa jimboni.
NdugaiCheo hicho hupewa mbunge wa kuchaguliwa jimboni.
Vipi huyo mstaafu ni mbunge kwenye bunge hili?
Asante kwa taarifa Mzee wa Twitter ngoja niandae suti yangu ninaweza kuwa mimi😁Najua itawawia vigumu kuamini hili lakini ndio ukweli. KUNA mstaafu MASHUHURI huenda akalamba TEUZI wakati wowote kuanzia sasa jiandaeni kumpa Maua yake.
sawa hata na hivyo ni msimu mpya wa usajiliNajua itawawia vigumu kuamini hili lakini ndio ukweli. KUNA mstaafu MASHUHURI huenda akalamba TEUZI wakati wowote kuanzia sasa jiandaeni kumpa Maua yake.
Adabu iko wapi🤔Shika adabu yako
Hata chawa wanasajiliwa msimu huu😁sawa hata na hivyo ni msimu mpya wa usajili
Luca anajua lakiniIla Mzee ni mstaarabu Sana,