Kuna mstari mwembamba unaomtofautisha Askofu Gwajima na Kibweteere

Askofu gwajima namjua vzuri tu, si jamaa wakukurupuka hata siku moja nimchunguzi, anafatilia na details nyingi sana anazo so anachokisema anakijua vzuri ninyi wengne mjibuni kwa hoja au fanyeni kama USA wekeni dola 100 kwa kila atakayechanja
 
Suala la wafuasi anao lakini 90% ni mbumbumbu tu
 
Ni mwarabu kwa shinikizo la wazungu (madalali wa chanjo)
ni waarabu wenyewe hakuna shinikizo hapo. kila nchi i a serikali huru na sheria zake. kwann ushinikizwe wkt una mamlaka kamili ya kukataa?
viongozi wa kiarabu ndio wameamua.. wangetaa isingepita. hakuna cha mzungu hapo
 
ni waarabu wenyewe hakuna shinikizo hapo. kila nchi i a serikali huru na sheria zake. kwann ushinikizwe wkt una mamlaka kamili ya kukataa?
viongozi wa kiarabu ndio wameamua.. wangetaa isingepita. hakuna cha mzungu hapo
Aisee
 
Kiukweli ukimsikiliza mchungaji gwajima hoja zake,unajiridhisha kwamba kuna watu kawashika kubaya.
 
Marekani waliotengeneza chanjo inawalazimu kutumia pesa kama kivutio ili kuwachanja watu wake.
Wewe uliyepewa bure unataka uwalazimishe watu kuchanjwa? wapi na wapi?
Rais wa marekani ametangaza kuwalipa dola mia moja kila mtu atakayejitokeza kuchanja.
Na wewe kama kuna watu hawataki tumia njia mbadala kuwashawishi.

Hapa kwetu serikali imeleta chanjo na imesema ni hiari mtu kuchanja au kuacha
sasa sisi huku mtaani kwanini tunawashwa na kutaka watu wote wachanjwe?
Gwajima anasisitiza watu watumie hiari yao,na yeye amesema yeye na watu wake hawatachanjwa.
Nakushauri kama wewe ni muumini wa gwajima na unataka kuchanjwa,hamia dhehebu jingine utumie haki yako na hiari yake kuchanjwa.
Siamini kama atakuzuia maana unahaki ya kuchagua mahali pa kuabudia.
 
Huku duniani kila mtu ana maoni na mtazamo wake kama wewe hapa unaetaka kuamini kua Covid ipo kwa kiwango kikubwa ilihali yamkini hujawahi kuuguliwa au kufiwa na ndugu mwenye Covid,uswahilini kiwango si kidogo tu bali hata hakionekani na maisha ya watu yanaendelea kama kawaida.

So huwezi ponda maoni ya Gwaji kwa sababu ya maoni yako wewe maana hata wewe unachemka vile vile
 
Unamuamini Gwajima?
 
sorry umeandika kama unanijua vile kumbe hamna kuti unatunga tunga theory tu. mm niko in science side.. why because it can prove such a viral strain exists?
can gwajima prove what he said scientificaly?

to me gwajima ni politician tu he is not a svientist.

+ siwez weka mambo ya familia yangu publiv places kama hizi. ila nimepoteza ndugu zaidi ya watatu. so najua ninachokisema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…