Kuna mtaalamu wa kuongea na wafu?

Kuna mtaalamu wa kuongea na wafu?

Apana kiongozi icho kitabu alinipatia rafiki angu nikiifadhi tukiwa secondary kuna siku home mpangaji alitembelewa na mjomba wake ambae ni mganga nikamuonyesha kile kitabu akakiomba atoe copy mpaka leo sijakipata.

Kile kitabu kilikuwa kinamaajabu sana tupo form 1 rafiki aliwatembezea moto madada wa form 3 na 4 mpaka dada mkuu ila jamaa ni mwanajeshi kila siku anakiulizia icho kitabu namjibu kipo asiwe na wasi
 
Unajua jina la hiy kitabu ?
Apana kiongozi icho kitabu alinipatia rafiki angu nikiifadhi tukiwa secondary kuna siku home mpangaji alitembelewa na mjomba wake ambae ni mganga nikamuonyesha kile kitabu akakiomba atoe copy mpaka leo sijakipata.

Kile kitabu kilikuwa kinamaajabu sana tupo form 1 rafiki aliwatembezea moto madada wa form 3 na 4 mpaka dada mkuu ila jamaa ni mwanajeshi kila siku anakiulizia icho kitabu namjibu kipo asiwe na wasi
 
Apana kiongozi icho kitabu alinipatia rafiki angu nikiifadhi tukiwa secondary kuna siku home mpangaji alitembelewa na mjomba wake ambae ni mganga nikamuonyesha kile kitabu akakiomba atoe copy mpaka leo sijakipata . Kile kitabu kilikuwa kinamaajabu sana tupo form 1 rafiki aliwatembezea moto madada wa form 3 na 4 mpaka dada mkuu ila jamaa ni mwanajeshi kila siku anakiulizia icho kitabu namjibu kipo asiwe na wasi
Duh , asante sana aisee
 
Si bora ajue ana pendwa
Kama haukumuonesha akiwa hai, hiyo guilty onesha kwa waliobakia Dunia.

Unapoteza muda kuwatafuta waliofariki unawasahau walio hai ulio nao. Siku wakifa nao unakua ulisahau kuwaonesha unawapenda unaanza kuwatafuta tena wakiwa wamekufa..

Oyaa hafu saa 8 usiku hii aje aje tunaongelea mambo ya madeath. Ebu semeni wapi kuna shangwe tuje.
 
Kama haukumuonesha akiwa hai, hiyo guilty onesha kwa waliobakia Dunia...
Huyu nilimuonyesha upendo ila sikuwahi mtamkia sasa najiuliza je alijua nina mjali na kumpenda au je alijua nilitimiza tuu wajibu wangu wa kumhudumia tuu na si kwamba nampenda?

Haya maswali yananiumiza sana kwasababu nilimpenda kwa moyo wote ila sikumuonyesha wala kumtamkia .
 
Back
Top Bottom