Kuna Mtanzania niliyemuamini nimemsikia na kuamini kumbe naye 'ameshalambishwa' Asali ya Zanzibar

Kuna Mtanzania niliyemuamini nimemsikia na kuamini kumbe naye 'ameshalambishwa' Asali ya Zanzibar

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuanzia sasa GENTAMYCINE sitowaamini Watu ( Waswahili ) wengine wowote zaidi ya Wazazi wangu.

Kwa Unafiki ulioko na Watu ( Waswahili ) Kutojiamini na Kukubali Kuumia kwa Watanzania wa baadae ndiyo mje muwatoe Mambuzi walioizoea Asali Tamu ya Tanzania ambayo kwa sasa Inafyonzwa sana kutokea Zanzibar?

Leo ndiyo nimeiamini Kauli ya Rafiki yangu Mmoja kuwa nikiwa na Urafiki na Watu wa Kabila Moja ( nalihifadhi ) niwe makini kwani kwa Asili ya Kwao akionyeshwa tu Pesa au Fursa ya Kiutajiri anaweza hata Kukusaliti na Wewe ili akipate.
 
Kuanzia sasa GENTAMYCINE sitowaamini Watu ( Waswahili ) wengine wowote zaidi ya Wazazi wangu.

Kwa Unafiki ulioko na Watu ( Waswahili ) Kutojiamini na Kukubali Kuumia kwa Watanzania wa baadae ndiyo mje muwatoe Mambuzi walioizoea Asali Tamu ya Tanzania ambayo kwa sasa Inafyonzwa sana kutokea Zanzibar?

Leo ndiyo nimeiamini Kauli ya Rafiki yangu Mmoja kuwa nikiwa na Urafiki na Watu wa Kabila Moja ( nalihifadhi ) niwe makini kwani kwa Asili ya Kwao akionyeshwa tu Pesa au Fursa ya Kiutajiri anaweza hata Kukusaliti na Wewe ili akipate.
Yaani wewe ulikuwa una mwamini Mbowe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] CHADEMA nzima ni [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90] amini usi amini

Mbowe hana akili yoyote
 
Kuanzia sasa GENTAMYCINE sitowaamini Watu ( Waswahili ) wengine wowote zaidi ya Wazazi wangu.

Kwa Unafiki ulioko na Watu ( Waswahili ) Kutojiamini na Kukubali Kuumia kwa Watanzania wa baadae ndiyo mje muwatoe Mambuzi walioizoea Asali Tamu ya Tanzania ambayo kwa sasa Inafyonzwa sana kutokea Zanzibar?

Leo ndiyo nimeiamini Kauli ya Rafiki yangu Mmoja kuwa nikiwa na Urafiki na Watu wa Kabila Moja ( nalihifadhi ) niwe makini kwani kwa Asili ya Kwao akionyeshwa tu Pesa au Fursa ya Kiutajiri anaweza hata Kukusaliti na Wewe ili akipate.
Mtakoma awamu hii si mlisema wapinzani hawafai mkawaona ni wajinga kila siku mnawatukana eti ni wachumia tumbo.

Sasa acha waungane na CCM wale mema ya Nchi.
 
Mbowe kazingua sana jana. Wote wenye akili timamu tulishajia analamba, ila kwa kauli zake za jana ndio katuthibitishia wazi kwamba analamba!

Anyway, niko Musoma hapa. Ngoja nikamsikilize leo atasema nini.

Ndiyo mjue sasa mama anajua anachokifanya
 
Lwiva,
Ulitaka aendelee kutukana na kukosoa Serikali kila kukicha, then what!!! Utakuwa mtu wa ajabu sana bora hata zwazwa ambaye maisha yako yote utaona na kuyasema mabaya tu, mazuri ukayafumbia macho. ukiishi hivyo bora ujifie tu unaishi duniani kufanya nini kama wewe kila siku ni ubaya tu.
 
Amesema never hatamtukana, siasa ndivyo zilivyo hazina rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu. Sasa yeye kama top leader hataki zile vibe mbindembinde wananchi watarajie siasa za aina gani? Any way siasa hubadilika kutokana na haiba ya kisiasa aliyonayo kiongozi anayotawala
 
Kuanzia sasa GENTAMYCINE sitowaamini Watu ( Waswahili ) wengine wowote zaidi ya Wazazi wangu.

Kwa Unafiki ulioko na Watu ( Waswahili ) Kutojiamini na Kukubali Kuumia kwa Watanzania wa baadae ndiyo mje muwatoe Mambuzi walioizoea Asali Tamu ya Tanzania ambayo kwa sasa Inafyonzwa sana kutokea Zanzibar?

Leo ndiyo nimeiamini Kauli ya Rafiki yangu Mmoja kuwa nikiwa na Urafiki na Watu wa Kabila Moja ( nalihifadhi ) niwe makini kwani kwa Asili ya Kwao akionyeshwa tu Pesa au Fursa ya Kiutajiri anaweza hata Kukusaliti na Wewe ili akipate.
Tuliosoma Cuba tumeishaelewa
 
Kila MTU na ale asali. Kama ni ela piga kama ni Mali tujichumie. Mimi binafsi nilishakataa collectivistic goals(maazimio ya kijumuiya).Niko kwa ajili yangu tu.

I said long ago, Tanzania is heading to a "Uniparty"... you'll be given an illusion of choice, but in a real sense, you are choosing the same thing...
 
Kuanzia sasa GENTAMYCINE sitowaamini Watu ( Waswahili ) wengine wowote zaidi ya Wazazi wangu.

Kwa Unafiki ulioko na Watu ( Waswahili ) Kutojiamini na Kukubali Kuumia kwa Watanzania wa baadae ndiyo mje muwatoe Mambuzi walioizoea Asali Tamu ya Tanzania ambayo kwa sasa Inafyonzwa sana kutokea Zanzibar?

Leo ndiyo nimeiamini Kauli ya Rafiki yangu Mmoja kuwa nikiwa na Urafiki na Watu wa Kabila Moja ( nalihifadhi ) niwe makini kwani kwa Asili ya Kwao akionyeshwa tu Pesa au Fursa ya Kiutajiri anaweza hata Kukusaliti na Wewe ili akipate.
Hapa unamzungumzia Mbowe
 
Kuanzia sasa GENTAMYCINE sitowaamini Watu ( Waswahili ) wengine wowote zaidi ya Wazazi wangu.

Kwa Unafiki ulioko na Watu ( Waswahili ) Kutojiamini na Kukubali Kuumia kwa Watanzania wa baadae ndiyo mje muwatoe Mambuzi walioizoea Asali Tamu ya Tanzania ambayo kwa sasa Inafyonzwa sana kutokea Zanzibar?

Leo ndiyo nimeiamini Kauli ya Rafiki yangu Mmoja kuwa nikiwa na Urafiki na Watu wa Kabila Moja ( nalihifadhi ) niwe makini kwani kwa Asili ya Kwao akionyeshwa tu Pesa au Fursa ya Kiutajiri anaweza hata Kukusaliti na Wewe ili akipate.
Rais Samia ameonesha kuwa na akili na maarifa ya siasa kuliko yule mtu wako aliyekuwa na hasira kama mbogo
 
Kuanzia sasa GENTAMYCINE sitowaamini Watu ( Waswahili ) wengine wowote zaidi ya Wazazi wangu.

Kwa Unafiki ulioko na Watu ( Waswahili ) Kutojiamini na Kukubali Kuumia kwa Watanzania wa baadae ndiyo mje muwatoe Mambuzi walioizoea Asali Tamu ya Tanzania ambayo kwa sasa Inafyonzwa sana kutokea Zanzibar?

Leo ndiyo nimeiamini Kauli ya Rafiki yangu Mmoja kuwa nikiwa na Urafiki na Watu wa Kabila Moja ( nalihifadhi ) niwe makini kwani kwa Asili ya Kwao akionyeshwa tu Pesa au Fursa ya Kiutajiri anaweza hata Kukusaliti na Wewe ili akipate.
Kaka anza wewe kuumia kwa vizazi vya baadae tuone!!!Kusema na kuhukumu ni rahisi kutenda kazi!!!Asali tamu kaka wewe hujui tu🤣🤣🤣
 
  • Kicheko
Reactions: Cyn
Sema mwamba ni kiboko akaona atie matingasi kwanza,ili mkimkaba baraabara aseme sikuwa sawa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kijani wana mbinu haswa kwa kweli nimeipenda staili yao hasa ya Mzee wa Pwani
 
GENTAMYCINE unapokutana na comment au uzi wenye shida tumia kitufe cha 'REPORT'. Ku-mention moderators na kusema umepuuzwa sio sahihi.

Narudia, 'Report' do not 'Mention'
 
Nani ambaye hapendi kulamba asali? Hata wewe uliokuwepo hapo nyuma ya keyboard unapenda kulamba asali sema tu haujapata connection tu ya kulamba asali Asali sema tu wivu na roho mbaya ya kwenu na ukoo wenu unajifanya hampendi idiot.

Kwa nusu ya miaka yangu nimekowa sapota wa bwana mlamba asali in town bwana komredi mbowe na nasapoti ulambaji wa asali kovid 19
 
Back
Top Bottom