GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuanzia sasa GENTAMYCINE sitowaamini Watu ( Waswahili ) wengine wowote zaidi ya Wazazi wangu.
Kwa Unafiki ulioko na Watu ( Waswahili ) Kutojiamini na Kukubali Kuumia kwa Watanzania wa baadae ndiyo mje muwatoe Mambuzi walioizoea Asali Tamu ya Tanzania ambayo kwa sasa Inafyonzwa sana kutokea Zanzibar?
Leo ndiyo nimeiamini Kauli ya Rafiki yangu Mmoja kuwa nikiwa na Urafiki na Watu wa Kabila Moja ( nalihifadhi ) niwe makini kwani kwa Asili ya Kwao akionyeshwa tu Pesa au Fursa ya Kiutajiri anaweza hata Kukusaliti na Wewe ili akipate.
Kwa Unafiki ulioko na Watu ( Waswahili ) Kutojiamini na Kukubali Kuumia kwa Watanzania wa baadae ndiyo mje muwatoe Mambuzi walioizoea Asali Tamu ya Tanzania ambayo kwa sasa Inafyonzwa sana kutokea Zanzibar?
Leo ndiyo nimeiamini Kauli ya Rafiki yangu Mmoja kuwa nikiwa na Urafiki na Watu wa Kabila Moja ( nalihifadhi ) niwe makini kwani kwa Asili ya Kwao akionyeshwa tu Pesa au Fursa ya Kiutajiri anaweza hata Kukusaliti na Wewe ili akipate.