PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,175
Wanalamba kweli kweli. Mtoa Asali Awe Makini Maana wanaweza kuondoka na Mzinga [emoji23][emoji23][emoji23]Mtakoma awamu hii si mlisema wapinzani hawafai mkawaona ni wajinga kila siku mnawatukana eti ni wachumia tumbo.
Sasa acha waungane na ccm wale mema ya Nchi.