Kuna mtu alishawahi kununua simu mtandaoni ikaja kwa posta na akaipata?

Nimeshanunua laptop aliexpress na ikafika poa... ila nitumia dhl...mmmh posta kwa vitu vya electronics siwaamini nahisi ntaambiwa vimepotea...ila vingine vingi navipata through posta
 
Hivi kuna mtu humu aliwahi kununua mtandaoni kwa kutumia kadi ya NMB? Nimejaribu kununua AliExpress imegoma imanitaka niweke OTP ambayo sina
card yako ni ya visa master card??
 
Nimeshanunua laptop aliexpress na ikafika poa... ila nitumia dhl...mmmh posta kwa vitu vya electronics siwaamini nahisi ntaambiwa vimepotea...ila vingine vingi navipata through posta
vp unatumia card gn ya benk?
 
Kwa DHL TNT yawezekana, ila posta?! Sahau, TTCL wezi sana..[emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Kwa DHL TNT yawezekana, ila posta?! Sahau, TTCL wezi sana..[emoji35] [emoji35] [emoji35]
Na wauzaji wenyewe wameshalijua hili na ndomana siku hizi ata ukimwambia muuzaji akutumie kwa posta anakataa kabisa na hii option mitandao mingi imeondolewa sio salama kabisa
 
Na wauzaji wenyewe wameshalijua hili na ndomana siku hizi ata ukimwambia muuzaji akutumie kwa posta anakataa kabisa na hii option mitandao mingi imeondolewa sio salama kabisa
noma sana
 
Nimeshanunua laptop aliexpress na ikafika poa... ila nitumia dhl...mmmh posta kwa vitu vya electronics siwaamini nahisi ntaambiwa vimepotea...ila vingine vingi navipata through posta
walikuchaji shi ngapi mpaka kufika?
 
Naomba kujua site nzuri za kununulia bidhaa tofauti na Alibaba , EBay , amazon na bestbuy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…