Haha bei gani hiyo mkuunishawahi kununua spy camera kwenye ebay walinitumia kwa posta mwaka jana ni ndogo sana inarekodi sauti na video inanisaidia sn ofisini maana nilikuwa na marafiki wengiii ofisini hila baada ya kuinunua nikitoka nje ya ofisi nnaiwasha nikirudi natoa memory card naweka kwenye simu nasikiliza majungu niliyopigwa nikapunguza marafiki nikajua kumbe wote wanafiki.
tumia DHL[emoji134] [emoji79]
Hamna uli usipigwe posta ni rahisi sana hakikisha ukinunua upate tracking ID kama hawajakupa wambie wakutumie ukishapata tracking ID hakikisha unautrack kila siku ukifika posta tu siku hiyo hiyo kachukue mzigo ukishakaaka kama week pale ndo mwanya wa wapigaji wanapiga mm nishaagiza vitu vingi sana UK kwa kutumia Royal mail sijawai ibiwa chochote vigezo lazima iwepo tracking baada ya kugundua wahindi posta na kkoo wana over priceAiseee mbona unanitisha,maana na me nipo kwenye utaratibu wa kuagiza Xiaomi kupitia Posta
Mimi alibaba wameniletea isiyokuwa sahihi ila ilikuwa first time,supplier kanichanganyaooh thanks ngoja nijaribu kununua simu