Kuna mtu alishawahi kununua simu mtandaoni ikaja kwa posta na akaipata?

Kuna mtu alishawahi kununua simu mtandaoni ikaja kwa posta na akaipata?

nishawahi kununua spy camera kwenye ebay walinitumia kwa posta mwaka jana ni ndogo sana inarekodi sauti na video inanisaidia sn ofisini maana nilikuwa na marafiki wengiii ofisini hila baada ya kuinunua nikitoka nje ya ofisi nnaiwasha nikirudi natoa memory card naweka kwenye simu nasikiliza majungu niliyopigwa nikapunguza marafiki nikajua kumbe wote wanafiki.
Haha bei gani hiyo mkuu
 
Nilishawahi kuagiza mzigo kupitia posta muda ulipita, ukapita mpaka nikasahau, ndio siku hiyo wakanipigia simu kuna mzigo wako...
 
Aiseee mbona unanitisha,maana na me nipo kwenye utaratibu wa kuagiza Xiaomi kupitia Posta
Hamna uli usipigwe posta ni rahisi sana hakikisha ukinunua upate tracking ID kama hawajakupa wambie wakutumie ukishapata tracking ID hakikisha unautrack kila siku ukifika posta tu siku hiyo hiyo kachukue mzigo ukishakaaka kama week pale ndo mwanya wa wapigaji wanapiga mm nishaagiza vitu vingi sana UK kwa kutumia Royal mail sijawai ibiwa chochote vigezo lazima iwepo tracking baada ya kugundua wahindi posta na kkoo wana over price
 
Back
Top Bottom