chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
Sasa fanya hivi.Boss wangu kanilazimisha kusoma vitabu nami sipendi kusoma nikamuomba anilipe kwa kila kitabu ninachosoma, akatutukana ngozi nyeusi, kaniboa sana
Draft lako mwanzoni lilikua zuri ila finishing mbovuSasa fanya hivi.
Nipe kitabu unachotaka kusoma, nakisoma, nachambua maudhui makuu kisha nakuwasilishia.
Halafu wewe utanilipa mimi.
MhDraft lako mwanzoni lilikua zuri ila finishing mbovu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Boss wangu kanilazimisha kusoma vitabu nami sipendi kusoma nikamuomba anilipe kwa kila kitabu ninachosoma, akatutukana ngozi nyeusi, kaniboa sana