chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
Habari za wasaa Wana JF.
Leo nimeona niwaletee uzii wa kutoa nyongo, zilizosababishwa na ma boss makazini, familia, ndoa, wapenzi n.k
Kama wanasaikokojia wanavyoshauri, umuhimu wa kutoa yaliyo moyoni kwa afya ya mwili na akili.
Karibuni.
Leo nimeona niwaletee uzii wa kutoa nyongo, zilizosababishwa na ma boss makazini, familia, ndoa, wapenzi n.k
Kama wanasaikokojia wanavyoshauri, umuhimu wa kutoa yaliyo moyoni kwa afya ya mwili na akili.
Karibuni.