Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee utakuwa mwanaume wa Dar, kaogaa.hapa Morogoro maeneo ya Joradani university kuna grocery napata bia zang mara gafla kuna mtu anatoa bastola.
Polisi Tanzania muwe makini sana maana hawa watu watatumaliza.
🤣 🤣 🤣 🤣uwe unapokea simu zake..utakufa kizembe
Kweli umelewa Joradani[emoji1787][emoji1787]hapa Morogoro maeneo ya Joradani university kuna grocery napata bia zang mara gafla kuna mtu anatoa bastola.
Polisi Tanzania muwe makini sana maana hawa watu watatumaliza.
Anatetemeka!chuma mchezoKweli umelewa Joradani[emoji1787][emoji1787]
42missed calls ngapi?
Kama nimemwelewa mtoa mada nikwamba hajatishwa yeye peke yake ila huyo mwenye bastola anatishia watu wote waliopo eneo hilo.Lete Habari Inayojitosheleza Anakutishia Chanzo Ni Nini?
Utamalizwa na polisi kabla ya huyo mlevi. Kuwa mwangalifu!hapa Morogoro maeneo ya Joradani university kuna grocery napata bia zang mara gafla kuna mtu anatoa bastola.
Polisi Tanzania muwe makini sana maana hawa watu watatumaliza.